Shabiki wa Yanga anaye lialia hovyo

Shabiki wa Yanga anaye lialia hovyo

Looooh, huyu ni mtoto wa kiume au ni mtoto mwanamme???

<strong>

 
Last edited by a moderator:
Aliulizwa sheria ya kumi na tano ya mpira wa miguu inahusu nini ndo akajibu vifusi!
 
kilio kimempa pikipiki toka kwa manji
kilio kimemsafirisha kwenda uturuki
kilio kimefanya aangalie mpira bure bila kutoa kiingilio taifa
kilio kimempa umaarufu pia mpaka kutengewa kipind kwenye television duuh kilio hiki sijui nami nijaribu
 
Back
Top Bottom