Angelicious
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 869
- 498
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mbinu zake za kupunguza ukali wa njaa mjini wanasema mjini akili
Akili zake ni unusu kasarobo!
Ni dalili anawachulia Yanga mara hii kupigwa 7 kama walivyopigwa wa Brazil.Leo yuko channel ten analia baada ya kukosa swali. Viva Steve lialia
kilio kimempa pikipiki toka kwa manji
kilio kimemsafirisha kwenda uturuki
kilio kimefanya aangalie mpira bure bila kutoa kiingilio taifa
kilio kimempa umaarufu pia mpaka kutengewa kipind kwenye television duuh kilio hiki sijui nami nijaribu
kilio kimempa pikipiki toka kwa manji
kilio kimemsafirisha kwenda uturuki
kilio kimefanya aangalie mpira bure bila kutoa kiingilio taifa
kilio kimempa umaarufu pia mpaka kutengewa kipind kwenye television duuh kilio hiki sijui nami nijaribu
kilio kimempa pikipiki toka kwa manji
kilio kimemsafirisha kwenda uturuki
kilio kimefanya aangalie mpira bure bila kutoa kiingilio taifa
kilio kimempa umaarufu pia mpaka kutengewa kipind kwenye television duuh kilio hiki sijui nami nijaribu
Nawaza siku wezi wavamie kwake ss sijui atalia wasiibe
hivi huyu jamaa hawajamstukia kama ni muongo..msanii wa kutupwa!!??.. dume kujilizaliza hovyo..tena sometimes kwenye hivyo vipindi vya tv huwa anauliza 'nilie sasa hivi"...