ni kichaa?
Leo yuko channel ten analia baada ya kukosa swali. Viva Steve lialia
Anaulizwa sheria za mpira anajibu VIFUSI
Hivi mkewe/girl wake huwa anajisikiaje kuwa na mwanamme anayelialia namna hiyo?
Aliulizwa sheria ya kumi na tano ya mpira wa miguu inahusu nini ndo akajibu vifusi!