Shabiki wa Yanga: Tumewapa hela na point wamechukua

Shabiki wa Yanga: Tumewapa hela na point wamechukua

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001

Hii sio habari mpya kabisa. Ni jambo linalofahamika. Ila tu kwa siku ya jana imetokea utapeli. Mtoa rushwa kalizwa.
Wakati mwingine Uto mkiona hali kama ya jana, kwenye dakika ya 80 kamateni mpira kisha kapteni akahoji mbona mnaenda kinyume na bahasha?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah
 
Waliandaa na jezi zenye namba 50 kusherekea unbeaten na keki walibeba

Wakaugeuza mpira kuwa kama sherehe za ngomani naskia kuna vikundi vya wakata mauno viliandaliwa kwa ajili ya kufanya sherehe.

Goli la Offside lilikuwa linaenda kuwapa uneaten ya 50 thanks to Never Tegere, he did the right thing.

Yule cheki bob wao mwenye maneno mabovu now haongei tena yale maneno yake ya ushujaa

Saizi habari sio Mayele tena wala Aziz Ki. Imefika hatua mwana Yanga atayeonekana kumsifia Aziz Ki au Mayele katika hiki kipindi ataonekana ni hater.

Saizi habari wanayoweza kuizungumzia ni kuwa "mpira una matokeo matatu hata Man city alifungwa"

Midomo imewashuka kama wamebwia kubeli wamebaki kusema "hii ndio football na tulishawahi kusema hii itakuja kutokea"
 
View attachment 2431567

Hii sio habari mpya kabisa. Ni jambo linalofahamika. Ila tu kwa siku ya jana imetokea utapeli. Mtoa rushwa kalizwa.
Wakati mwingine Uto mkiona hali kama ya jana, kwenye dakika ya 80 kamateni mpira kisha kapteni akahoji mbona mnaenda kinyume na bahasha?
Hao ni wana Makolo a k a Ng'ada fc. Ndiyo wanaoteseka na mechi za wananchiii.
 
Back
Top Bottom