Moja ya watu wenye uchu mbaya wa pesa kupitia vilabu vikubwa ni huyu mtu anaitwa Dauda. Ni mmoja wa virusi vikali sana anayetafuta kwa njia zote za fitna kupata fursa pale Klub ya Simba ili apige dili zake.
Kama kuna watu wanaochangia kuvuruga sana maendeleo ya mpira kwa ngazi za vilabu, mmoja wapo ni hili gwiji la fitna zinazopangwa kwa akili na watu wenye akili tu wanaweza kugundua njama zote.
Hivi sasa ana kampeni ya kutaka CEO aondoke kwa kigezo cha Simba kupoteza mechi na kutomfunga Yanga. Analalamika kwanini wafukuzwe makocha tu wakati kiongozi yupo na hajatimiza malengo. Hata hivyo huyu anayejinasibu ni mchambuzi wa soka hajui kuwa hata Ulaya makocha hufukuzwa lakini viongozi wakiendelea na majukumu yao.
Mijitu yenye roho mbaya kama huyu jamaa, iko tayari kufanya lolote ili ipate upenyo wa kuanzisha hoja kama hizi. Usije shangaa hata usajili unaofanywa, kuna mkono wa jitu kama hili. Na linafanya hivi likiwa na nia ovu ambayo itatekelezwa baadaye sana.
Nachukizwa sana na maoni ya huyu jamaa dhidi ya Simba kwani huwa hayana lengo la kujenga ila kuvuruga na katika vurugu hizi watu kama yeye wanajipatia fursa.
Kama kuna watu wanaochangia kuvuruga sana maendeleo ya mpira kwa ngazi za vilabu, mmoja wapo ni hili gwiji la fitna zinazopangwa kwa akili na watu wenye akili tu wanaweza kugundua njama zote.
Hivi sasa ana kampeni ya kutaka CEO aondoke kwa kigezo cha Simba kupoteza mechi na kutomfunga Yanga. Analalamika kwanini wafukuzwe makocha tu wakati kiongozi yupo na hajatimiza malengo. Hata hivyo huyu anayejinasibu ni mchambuzi wa soka hajui kuwa hata Ulaya makocha hufukuzwa lakini viongozi wakiendelea na majukumu yao.
Mijitu yenye roho mbaya kama huyu jamaa, iko tayari kufanya lolote ili ipate upenyo wa kuanzisha hoja kama hizi. Usije shangaa hata usajili unaofanywa, kuna mkono wa jitu kama hili. Na linafanya hivi likiwa na nia ovu ambayo itatekelezwa baadaye sana.
Nachukizwa sana na maoni ya huyu jamaa dhidi ya Simba kwani huwa hayana lengo la kujenga ila kuvuruga na katika vurugu hizi watu kama yeye wanajipatia fursa.