Kipigo cha mbwa mwitu alichopewa Simba na AS Vita Club kilitabiriwa na mtaalamu wa uchambuzi wa soka ndugu Shaffi Dauda mara tu baada ya makundi kupangwa.
Shaffi aliweka bayana kabisa kwamba hawapi nafasi Simba ktk kundi hilo maana inapamban na timu bora zenye historia kubwa na uwekezaji wa kutosha
Shaffi aliweka bayana kabisa kwamba hawapi nafasi Simba ktk kundi hilo maana inapamban na timu bora zenye historia kubwa na uwekezaji wa kutosha