Penison
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 6,274
- 12,244
Enyimba ametoka kufungwa na Horoya mwezi March mwaka huu kwenye quarter- final ,Anatokea mjinga mmoja anasema hawa hawana z focus na hii michuano.Kama hawana focus na hiyo michuano ilikuwaje kwa Enyimba?