Enyimba ametoka kufungwa na Horoya mwezi March mwaka huu kwenye quarter- final ,Anatokea mjinga mmoja anasema hawa hawana z focus na hii michuano.Kama hawana focus na hiyo michuano ilikuwaje kwa Enyimba?
Dauda hajawahi kuchezea simba ni karopokaji fulani kqnachotafuta kick kupitia simba.mi mshabiki wa simba ila katika watangazaji wanaojitahidi kubalansi dauda namba moja yeye na maestro,kwanza wote wanazi wa simba,shafih dauda ashachezea simba,maestro alikuwa afc arusha kama beki akaja kuwa kiongozi simba hadi mkurugenzi wa ufundi lakini hat siku moja hawjafikia u nazi wa maulid kitenge na watangazji wengi wanaoipeda utopolo
Alicheza ile Simba mbovu ya kina prosper omella 2001 kipindi anasoma ifm alikuwa na kipaji sanna tena kembamba walikuwa wanamuita giggsDauda hajawahi kuchezea simba ni karopokaji fulani kqnachotafuta kick kupitia simba.
Wanaigeria wana timu mbili kama hawana focus wangekuwa na timu moja