Ww ni lijinga sana embu mods futenu nyuzi zakipuuzi kama hizi Jamii forum inaanza onekana kama fb sababu yaawa wajingaNimeona Insta akimlinganisha na Rooney kwa goli alilolifunga jana!Kwa nini huwa humkubali huyu jamaa wakati mi naona ana takwimu za kutisha?
Unapenda kuleta uswahili na umekuwa ukiongoza sana kwenye kumponda huyu jamaa ukimlinganisha na wachezaji wengine.
huyo mwenzie haji manaraNimeona Insta akimlinganisha na Rooney kwa goli alilolifunga jana!Kwa nini huwa humkubali huyu jamaa wakati mi naona ana takwimu za kutisha?
Unapenda kuleta uswahili na umekuwa ukiongoza sana kwenye kumponda huyu jamaa ukimlinganisha na wachezaji wengine.
wewe mbona unakwazika na ronaldo achianeni nafasi ya kuchagua mnavyovitaka kila mtu kwa uono na upeo wake.Acha ushamba! Toka lini kipimo cha ubora kikawa ni idadi ya ligi ulizocheza.
Mbona wengi wanaishia kuwa wazururaji tu na hawaambulii hata ballon d'Or moja.
Cha msingi usiwe limbukeni wa kumchambua Messi kwa mitazamo ya Waingereza wanaokwazika na staa huyo kutokutia mguu kwenye ligi yao.
Duh! Hasira za mumeo unataka kuzihamishia kwangu dada!Punguza jazba..Uefa inaelekea mwisho!Ww ni lijinga sana embu mods futenu nyuzi zakipuuzi kama hizi Jamii forum inaanza onekana kama fb sababu yaawa wajinga
OK mrudishie boss wako cm sasa ni usiku kaendelee na kaz za jikoniDuh! Hasira za mumeo unataka kuzihamishia kwangu dada!Punguza jazba..Uefa inaelekea mwisho!
Kumbe Chelsea ilikuwa Group stageMessi amezoea kufunga Group Stages tu
Knock out Stage sio kiviile.... mara moja moja tu