Shaffi kwa nini humkubali Ronaldo?

Shaffi kwa nini humkubali Ronaldo?

Nimeona Insta akimlinganisha na Rooney kwa goli alilolifunga jana!Kwa nini huwa humkubali huyu jamaa wakati mi naona ana takwimu za kutisha?
Unapenda kuleta uswahili na umekuwa ukiongoza sana kwenye kumponda huyu jamaa ukimlinganisha na wachezaji wengine.
Ww ni lijinga sana embu mods futenu nyuzi zakipuuzi kama hizi Jamii forum inaanza onekana kama fb sababu yaawa wajinga
 
Nimeona Insta akimlinganisha na Rooney kwa goli alilolifunga jana!Kwa nini huwa humkubali huyu jamaa wakati mi naona ana takwimu za kutisha?
Unapenda kuleta uswahili na umekuwa ukiongoza sana kwenye kumponda huyu jamaa ukimlinganisha na wachezaji wengine.
huyo mwenzie haji manara
 
Acha ushamba! Toka lini kipimo cha ubora kikawa ni idadi ya ligi ulizocheza.
Mbona wengi wanaishia kuwa wazururaji tu na hawaambulii hata ballon d'Or moja.

Cha msingi usiwe limbukeni wa kumchambua Messi kwa mitazamo ya Waingereza wanaokwazika na staa huyo kutokutia mguu kwenye ligi yao.
wewe mbona unakwazika na ronaldo achianeni nafasi ya kuchagua mnavyovitaka kila mtu kwa uono na upeo wake.
 
Ww ni lijinga sana embu mods futenu nyuzi zakipuuzi kama hizi Jamii forum inaanza onekana kama fb sababu yaawa wajinga
Duh! Hasira za mumeo unataka kuzihamishia kwangu dada!Punguza jazba..Uefa inaelekea mwisho!
 
Back
Top Bottom