Shaffih Dauda acha kiherehere

Shafii kinachomsumbua ni hasira za kukosa nafasi za uongozi katika vyama na timu za michezo, ghiliba zake Wala zisikuchanganye anajulikana vilivyo
 
Huyu mtu amekuwa akiandama sana Yanga, najua aanatumwa sasa mwambieni aache kiherehere, mambo ya Yanga atuachie wenyewe

View attachment 2001365
Hakuna MTU mjinga na mpumbavu kama shafii dauda .yeye ni MTU WA tasnia ya habari Sasa kama ni hivi anawezaje kubalance taluuma yake Kwa haya makandokando anayoyafanya ..aaache ujinga .mliomuajiri mmpe onyo
 
Shafii kinachomsumbua ni hasira za kukosa nafasi za uongozi katika vyama na timu za michezo, ghiliba zake Wala zisikuchanganye anajulikana vilivyo
Kazidi umuch know ndo mana hata akigombea wanamuengua mapema tu wameshalijua kuwa ni lijitu la hovyo
 
Huyu mtu amekuwa akiandama sana Yanga, najua aanatumwa sasa mwambieni aache kiherehere, mambo ya Yanga atuachie wenyewe

View attachment 2001365
Na mlivyo Majuha na Wanafiki hata hamjui kuwa Shaffih Dauda Kajuna ni Yanga SC lia lia ila huwa haendeshwi Kishabiki na Kinafiki katika Chambuzi zake.

Leo kwakuwa Kawashika pabaya na patamu pia kwa Kupiga kwenyewe penye Ukweli mtupu mnamchukia na Kumshambulia mbona Siku akiisema Simba SC huwa mnampamba na Kumsifia Mitandaoni?

Tulieni hivyo hivyo Dawa iwaingieni.
 
nyie mnafikili kwann mondi alilinyima kazi pale wasafi fm?
 
Shafiii ni Simba yule mbona iko wazi! Anaumia kuona msimu huu wana litimu libovu na kule wananchi ndio hawakamatiki!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…