Huyu mtu amekuwa akiandama sana Yanga, najua aanatumwa sasa mwambieni aache kiherehere, mambo ya Yanga atuachie wenyewe
View attachment 2001365
Ila msisahau kwamba Dauda Ni shabiki wa YangaShafii kinachomsumbua ni hasira za kukosa nafasi za uongozi katika vyama na timu za michezo, ghiliba zake Wala zisikuchanganye anajulikana vilivyo
Anataka u Afisa habari wa Simba,kapitwa mpaka na Mwijaku. Na wanajua wakipishana na manara tu,wanapata ajira.Shafii kinachomsumbua ni hasira za kukosa nafasi za uongozi katika vyama na timu za michezo, ghiliba zake Wala zisikuchanganye anajulikana vilivyo
Shaffi,mpira umeshakuwa ccm na chadema!!!Huyu mtu amekuwa akiandama sana Yanga, najua aanatumwa sasa mwambieni aache kiherehere, mambo ya Yanga atuachie wenyewe
View attachment 2001365
Ila mkifungwa mmesalitiana!!Eti unajua anatumwa...!! Heheee... anatumwa na nani sasa? Tuambie hili ni jukwaa huru, weka wazi ni nani anayemtuma usilete porojo za vijiwe vya kahawa hapa!
Halafu mbona akiisema simba au akimgusa mwanasimba hakuna anayesema katumwa? Badala yake huwa anapuuzwa tu..
Shaffih haisemi yanga tu ata simba anaisema sana tu kihabar au kimpra kumbuka kipind kile cha under dog au sakata na fcc na uwekezaji wa mo ata babra amemsema sana , mara nyngne anafanya sawa sawa maana ndio kaz yake ,ila shida ya simba na yanga hawatak kukosolewa kwa chochote wao wanataka yao uwasifie tu sana sana sisi mashabik na baadhi ya viongoz hatutak timu zetu zikosoleweShafiii ni Simba yule mbona iko wazi! Anaumia kuona msimu huu wana litimu libovu na kule wananchi ndio hawakamatiki!
Hii uongozi wa Simba alikua anagombeajeIla msisahau kwamba Dauda Ni shabiki wa Yanga