Shaffih Dauda ashangaa George Mpole kuanzia benchi dhidi ya Yanga

Shaffih Dauda ashangaa George Mpole kuanzia benchi dhidi ya Yanga

Inawezekana ilikuwa ni mpango wa kocha tu wala hakukuwa na hiyo dhana.

Ila hoja inakuja kupata nguvu pale tunapoona kinachofanyika uwanjani.

Goli la Max uliliona? Ule ulikuwa ni mpira wa kumshinda kipa ashindwe kudaka?

Ulicheki penati ya Azizi Ki jinsi ilivyotafutwa?

Ushawahi kuangalia Drunken Master ya Jackie Chan?

Basi ile mipepesuko ya Jack Chan ndio tumeishuhudia jana kwenye ligi ya NBC ila round hii staring alikuwa Baleke

Aliguswa nje ya box lakini alipepesuka akayumba akayumba kulitafuta box akajitupa chini.

Mwili ukawa upo ndani ya box ila miguu bado iko nje, so kumshawishi zaidi refa ikabidi amalizie kujibiringisha ili iwe convincing ndio hapo refa kufunika tuta.
We jamaa🤣🤣🤣
 
Mchambuzi nguli kabisa wa boli kutoka Clouds FM ameshangaa kwanini mshambuliaji namba 1 wa Pamba kuanzia benchi licha ya kuanza mechi zote za awali.

Soma Pia: FT: Yanga SC 4-0 Pamba jiji SC | NBC Premier League | Azam Complex | Octoba 03, 2024

Yapi maoni yako?View attachment 3114476
Kiukweli, hili jambo halileti afya kwa maendeleo ya mpira wetu, hata kama ni rushwa, basi isifanywe kwa namna ya kuwa rahisi hivi kugundua.

Leo hii unaweza kuchukulia poa, kwa kuwa haileti athari kwa timu yako, ila tabia hii ikishakomaa itaanza kuwa ikiathiri kila timu iliyo kwenye ligi.

Ova
 
Hivi ana kiwango gani cha elimu ndugu Dauda? Maana hata ujenzi wake wa hoja sijawahi kuuelewa
LA 7 b.

shafii kichwani mweupe kabisa, empty kabisa, sijui how amefika clouds ana kuwa level ile. ila mweupe. elimu hana kabisa. ukimtoa clouds amna sehemu ataajilika,

sheria ya diploma ilimtoa, naona kaludi
 
Kiukweli, hili jambo halileti afya kwa maendeleo ya mpira wetu, hata kama ni rushwa, basi isifanywe kwa namna ya kuwa rahisi hivi kugundua.

Leo hii unaweza kuchukulia poa, kwa kuwa haileti athari kwa timu yako, ila tabia hii ikishakomaa itaanza kuwa ikiathiri kila timu iliyo kwenye ligi.

Ova
Yeye hazungumzii kikosi cha Yanga, ni cha Pamba.

Ova
Nyie watu, kwahiyo Yanga haiwezi kushinda bila kutoa rushwa? Kwanini kila Yanga ikishinda huwa yanakuja maneno na chokochoko nyingi?

Ligi ya mabingwa tulikoshinda mechi zote nako tulitoa rushwa?

Juzi hapa mlishaanza kushangilia Yanga kupata ushindi mwembamba (Nawe ukiwemo b…) Ushindi huu mnono umewaumiza sana, poleni.
 
Nyie watu, kwahiyo Yanga haiwezi kushinda bila kutoa rushwa? Kwanini kila Yanga ikishinda huwa yanakuja maneno na chokochoko nyingi?

Ligi ya mabingwa tulikoshinda mechi zote nako tulitoa rushwa?

Juzi hapa mlishaanza kushangilia Yanga kupata ushindi mwembamba (Nawe ukiwemo b…) Ushindi huu mnono umewaumiza sana, poleni.
Ajabu kubwa hii.
 
Wabongo bhana, kisa Mpole kutoanza? Hiyo Yanga Dube, Chama, Pacome, Musonda wote wameanzia benchi, leo mpaka Sureboy kaanza, Baleke pia mbona hamuhoji?

Shaffih ndio maana mitihani hata ya kawaida tu ya ukocha anafeli kwa sababu hizi hana logic hata kidogo.
huyo shaffie ni zuzu,kwani yeye ni nani,mpaka ahoji nani hachezi na nani anaenda
 
Nyie watu, kwahiyo Yanga haiwezi kushinda bila kutoa rushwa? Kwanini kila Yanga ikishinda huwa yanakuja maneno na chokochoko nyingi?

Ligi ya mabingwa tulikoshinda mechi zote nako tulitoa rushwa?

Juzi hapa mlishaanza kushangilia Yanga kupata ushindi mwembamba (Nawe ukiwemo b…) Ushindi huu mnono umewaumiza sana, poleni.
Kwa sasa naweza nisieleweke, kwa kuwa naweza kueleweka kuwa naisema Yanga, sio kwamba nausemea mpira wa Tanzania ili kuunusuru mpira wetu.

Lakini, kwa kuwa, JF inaweza kudumu hata baada ya kumalizika maisha yetu ya duniani, ni vema wengine tukasema tu, hata kama ni ngumu kueleweka kwa sasa.

Tulizoea kuona mazingira ya rushwa kwa waamuzi wetu tu, lakini kufikia hadi kuona mazingira ya rushwa kwa vilabu kuweka nje nyota wake wa kikosi cha ushindi ni balaa.

Tulio kwenye ushabiki wa soka kwa muda mrefu tunajua kama Serie A ilikuwa ndiyo bora Ulaya, lakini rushwa ikaiporomosha hadi ligi zingine kama La Liga na EPL zikaipiku.

Ni lazima tujenge utamaduni wa kuichukia rushwa hata kama ilitolewa na mkono wa shoto huku mkono wa kulia ukiwa haitambui kuhusu rushwa hiyo.

Ova
 
Inawezekana ilikuwa ni mpango wa kocha tu wala hakukuwa na hiyo dhana.

Ila hoja inakuja kupata nguvu pale tunapoona kinachofanyika uwanjani.

Goli la Max uliliona? Ule ulikuwa ni mpira wa kumshinda kipa ashindwe kudaka?

Ulicheki penati ya Azizi Ki jinsi ilivyotafutwa?

Ushawahi kuangalia Drunken Master ya Jackie Chan?

Basi ile mipepesuko ya Jack Chan ndio tumeishuhudia jana kwenye ligi ya NBC ila round hii staring alikuwa Baleke

Aliguswa nje ya box lakini alipepesuka akayumba akayumba kulitafuta box akajitupa chini.

Mwili ukawa upo ndani ya box ila miguu bado iko nje, so kumshawishi zaidi refa ikabidi amalizie kujibiringisha ili iwe convincing ndio hapo refa kufunika tuta.
Aaahaaa
 
Inawezekana ilikuwa ni mpango wa kocha tu wala hakukuwa na hiyo dhana.

Ila hoja inakuja kupata nguvu pale tunapoona kinachofanyika uwanjani.

Goli la Max uliliona? Ule ulikuwa ni mpira wa kumshinda kipa ashindwe kudaka?

Ulicheki penati ya Azizi Ki jinsi ilivyotafutwa?

Ushawahi kuangalia Drunken Master ya Jackie Chan?

Basi ile mipepesuko ya Jack Chan ndio tumeishuhudia jana kwenye ligi ya NBC ila round hii staring alikuwa Baleke

Aliguswa nje ya box lakini alipepesuka akayumba akayumba kulitafuta box akajitupa chini.

Mwili ukawa upo ndani ya box ila miguu bado iko nje, so kumshawishi zaidi refa ikabidi amalizie kujibiringisha ili iwe convincing ndio hapo refa kufunika tuta.
"Goli la Max uliliona? Ule ulikuwa ni mpira wa kumshinda kipa ashindwe kudaka?"

Vp na nyie goli lenu la kwanza na Coastal ule mpira nao wa kumshinda kipa?
 
Back
Top Bottom