Shaffih Dauda: Mukoko Tonombe kauzwa kwasababu ya red card ya Fainali ya F.A

MCHAMBUZI WA MCHONGO, CHUPLICHUPLI
 
Maelezo mengi wakati Hujui hata game ilipigwa uwanja gani? Ilikuwa Lake Tanganyika Kigoma siyo Tabora.
 
Ndio wachambuzi wetu,wenzetu ulaya kazi kama hizi wanafanya wachezaji waliocheza ligi kuu. Huku sijui kigezo gani yani vipindi vyao ni sawa na vile vijiwe vyetu vya mtaani/kahawani.

Tanzania hii mtu aliyekizi kuitwa mchambu Ally Mayai na Kiemba, wengine madeal wanapeana kishkaji,yaani leo Dauda nime mweka kundi moja na Manara.

Sababu za kipuuzi kabisa.
 
kwenye Uelewa wa mchezo wa mpira wa miguu hamna kama shaffih ndo maana kila timu haimpendi !!
Wakati wa dirisha kubwa la usajili, kipindi ambacho Kisinda aliuzwa na Mukoko pia alihitajika na timu mbali mbali ila uongozi wa Yanga ukamchomolea kuondoka. Kama ingekuwa sababu ni ya fainali ya kombe la Azam basi wangeshamuuza kipindi cha dirisha kubwa
 
Kazi ya shabiki ni kushangilia tu,ila timu ina wenyewe,wanaamua nani auzwe nani anunuliwe nani abaki,h uko kwenye magroup yenu ya whatspp hata mlie mgaregare haisaidii kuzuia mchezaji kuuzwa
 
Mimi nashauri aina hii ya wachambuzi wanao ongea mambo sensitive kama haya, huku wakiwa hawana uthibitisho wowote ule, basi wangepuuzwa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…