Shaffih Dauda na Wachambuzi wengi wamejipatia fedha nyingi kwa utapeli wa uchambuzi

Shaffih Dauda na Wachambuzi wengi wamejipatia fedha nyingi kwa utapeli wa uchambuzi

Kama unamfatilia vizuri Shafii Dauda utagundua hiyo sio taarifa yake ya kwanza kukosea

Huwa najiuliza hizi takwimu huwa anazitoa kichwani mwake kupitia kumbukumbu au huwa anazipitia kuhakiki katika site za mitandao ambayo imekuwa maalumu kwa ajili ya data hizo?
Jamaa tangia kitambo namuona kanjanja, enzi zile anakopi uchambuzi kutoka mtandao wa Goal.com na kuipost kama yeye ndio kachambua
 
Haya mambo wajanja tunamjua kabisa kuwa toka zamani wana tafsiri..page za nje...hayo yote Tisa..
Kumi ni Hamisi Kigwangala alipo copy hotuba ya Obama na kwenda kuitumia kutangaza Nia ya kugombea Urais.......tukiambiwa tuko nyuma Sana muwe mnaelewa
 
Sasa kaleta ujinga gani anakuuliza fair unaleta ujuaji?
Dogo mbona unakuwa na hasira kama mwanamke mwenye mimba changa au upo kwenye sku zako?
Mkuu siku hizi Vijana wengi wa matatizo ya akili maana anapaniki bila sababu na maneno ya hovyo hivi huyu unamuweka kwenye kundi lipi?
 
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane!.

Miaka ya nyuma hawa watu walioitwa wachambuzi wa kandanda akiwemo Shaffih Dauda na wenzie wametupiga sana ndoige kuhusu Kandanda na historia yake ni kwasababu miaka hiyo watanzania wengi walikuwa wavivu kusoma na kutafuta maarifa zaidi yanayohusu soka, kitu kingine pia ilikuwa ni ufinyu wa teknolojia ikiwemo ukosefu wa luninga,ukosefu wa simu janja pamoja na ukosefu wa kimtandao(Internet).


Watanzania wa leo si wa miaka 15 iliyopita kwasababu sasa hivi kuna kila aina ya miundombinu(Facilities)za kupata taarifa kwa urahisi na kurahisisha usomaji.

Sasa wachambuzi wengi wanadhani watanzania wa leo ni mazumbukuku kama wa miaka 15 - 20 iliyopita.

Hii imepelekea wachambuzi wengi wa kandanda walio sahihi na wasio sahihi kupewa jina linalosadifu uhalisia wao "WACHAMBUZI WA MICHONGO".


Kitendo cha Shaffih Dauda kusema ya kwamba "Emiliano Martinez ndiye goli kipa wa kwanza kutoka America kusini kushinda tuzo ya goli kipa bora wa kombe la dunia" kimenisikitisha sana na kuwaza mambo mengi sana kuhusu huyu jamaa na wachambuzi wengine niliyowaamini na bila shaka watanzania wengi wapenda soka watakuwa walishangaa sana na kutoamini kama kweli ni yeye ndiye aliyetoa ile posti.

Shaffih Dauda kama mchambuzi nguli wa kabumbu hapa nchini alijizolea umaarufu hadi kuaminiwa na makampuni makubwa na kuwa balozi wao,ukiachana na mambo ya ubalozi pia aliweza kuwashawishi wadau mbalimbali kudhamini michuano ya ndondo cup ambako huko amejipatia mipesa ya kutosha.

Sasa nilichogundua ni kwamba,hawa wachambuzi wa miaka hiyo akiwemo Shaffih Dauda mwenyewe, walitudanganya sana kwasababu watanzania wengi tulikuwa si wafuatilia mambo na kujikuta tunavutiwa nao tukiamini wanalifahamu soka kumbe ilikuwa sivyo!.

Kitendo cha Shaffih Dauda kukosolewa hadharani na mpigania haki Malisa kinaonyesha namna ambavyo jamaa halijui soka bali ni kanjanja,hivi ni kweli kabisa Shaffih hili halikuwa halifahamu mpaka kufahamishwa na mtu ambaye uchambuzi wa soka si kazi yake?,hivi kweli kwa teknolojia ya leo alishindwa hata ku-google ili kuhalalisha uchambuzi wake?,au ni mapenzi na mahaba ya Emiliano Martnez ndiyo yalifanya aposti ule ujinga.

Hiki kitendo kimefichua mambo mengi sana kwa jamaa na tafsiri yake ni kwamba,hata hapo Clouds ashukuru miaka hiyo anapata ajira bado wabongo wengi walikuwa vilaza kwenye masuala ya soka, kupitia uongo wake jamaa leo amejipatia maisha mazuri sana.

Kibaya zaidi bado anataka kuendeleza uongo kwenye dunia ambayo imejaa wasomi,wafuatilia mambo na watu makini katika soka,akiendelea na ujinga huu katika dunia ya watu wanaojua zaidi yake ataumbuka kwa ukanjanja wake.


Ni hayo tu.
You get successful and retire
 
Mkuu siku hizi Vijana wengi wa matatizo ya akili maana anapaniki bila sababu na maneno ya hovyo hivi huyu unamuweka kwenye kundi lipi?
Dogo ni mpumbavu kama ana stress zake asiletee watu humu.
 
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane!.

Miaka ya nyuma hawa watu walioitwa wachambuzi wa kandanda akiwemo Shaffih Dauda na wenzie wametupiga sana ndoige kuhusu Kandanda na historia yake ni kwasababu miaka hiyo watanzania wengi walikuwa wavivu kusoma na kutafuta maarifa zaidi yanayohusu soka, kitu kingine pia ilikuwa ni ufinyu wa teknolojia ikiwemo ukosefu wa luninga,ukosefu wa simu janja pamoja na ukosefu wa kimtandao(Internet).


Watanzania wa leo si wa miaka 15 iliyopita kwasababu sasa hivi kuna kila aina ya miundombinu(Facilities)za kupata taarifa kwa urahisi na kurahisisha usomaji.

Sasa wachambuzi wengi wanadhani watanzania wa leo ni mazumbukuku kama wa miaka 15 - 20 iliyopita.

Hii imepelekea wachambuzi wengi wa kandanda walio sahihi na wasio sahihi kupewa jina linalosadifu uhalisia wao "WACHAMBUZI WA MICHONGO".


Kitendo cha Shaffih Dauda kusema ya kwamba "Emiliano Martinez ndiye goli kipa wa kwanza kutoka America kusini kushinda tuzo ya goli kipa bora wa kombe la dunia" kimenisikitisha sana na kuwaza mambo mengi sana kuhusu huyu jamaa na wachambuzi wengine niliyowaamini na bila shaka watanzania wengi wapenda soka watakuwa walishangaa sana na kutoamini kama kweli ni yeye ndiye aliyetoa ile posti.

Shaffih Dauda kama mchambuzi nguli wa kabumbu hapa nchini alijizolea umaarufu hadi kuaminiwa na makampuni makubwa na kuwa balozi wao,ukiachana na mambo ya ubalozi pia aliweza kuwashawishi wadau mbalimbali kudhamini michuano ya ndondo cup ambako huko amejipatia mipesa ya kutosha.

Sasa nilichogundua ni kwamba,hawa wachambuzi wa miaka hiyo akiwemo Shaffih Dauda mwenyewe, walitudanganya sana kwasababu watanzania wengi tulikuwa si wafuatilia mambo na kujikuta tunavutiwa nao tukiamini wanalifahamu soka kumbe ilikuwa sivyo!.

Kitendo cha Shaffih Dauda kukosolewa hadharani na mpigania haki Malisa kinaonyesha namna ambavyo jamaa halijui soka bali ni kanjanja,hivi ni kweli kabisa Shaffih hili halikuwa halifahamu mpaka kufahamishwa na mtu ambaye uchambuzi wa soka si kazi yake?,hivi kweli kwa teknolojia ya leo alishindwa hata ku-google ili kuhalalisha uchambuzi wake?,au ni mapenzi na mahaba ya Emiliano Martnez ndiyo yalifanya aposti ule ujinga.

Hiki kitendo kimefichua mambo mengi sana kwa jamaa na tafsiri yake ni kwamba,hata hapo Clouds ashukuru miaka hiyo anapata ajira bado wabongo wengi walikuwa vilaza kwenye masuala ya soka, kupitia uongo wake jamaa leo amejipatia maisha mazuri sana.

Kibaya zaidi bado anataka kuendeleza uongo kwenye dunia ambayo imejaa wasomi,wafuatilia mambo na watu makini katika soka,akiendelea na ujinga huu katika dunia ya watu wanaojua zaidi yake ataumbuka kwa ukanjanja wake.


Ni hayo tu.
Katupiga ndoige na kuna wa TBC alisema Martinez ni mchezaji wa Sevilla.
 
Sasa wewe unamshambulia shafii ila wewe hujaweka fact

Shafii ni nyota wa wachambuzi mpeni heshima yake hata km mnamchukia
 
Haya mambo wajanja tunamjua kabisa kuwa toka zamani wana tafsiri..page za nje...hayo yote Tisa..
Kumi ni Hamisi Kigwangala alipo copy hotuba ya Obama na kwenda kuitumia kutangaza Nia ya kugombea Urais.......tukiambiwa tuko nyuma Sana muwe mnaelewa

Huyu Waziri wa hela na Bwana Bagaile ni makanjanja sana.
 
Tanzania hakuna wachambuzi bali mambuzi na kujua wachezaji wengi hakukufanyi kuwa mchambuzi.
 
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane!.

Miaka ya nyuma hawa watu walioitwa wachambuzi wa kandanda akiwemo Shaffih Dauda na wenzie wametupiga sana ndoige kuhusu Kandanda na historia yake ni kwasababu miaka hiyo watanzania wengi walikuwa wavivu kusoma na kutafuta maarifa zaidi yanayohusu soka, kitu kingine pia ilikuwa ni ufinyu wa teknolojia ikiwemo ukosefu wa luninga,ukosefu wa simu janja pamoja na ukosefu wa kimtandao(Internet).


Watanzania wa leo si wa miaka 15 iliyopita kwasababu sasa hivi kuna kila aina ya miundombinu(Facilities)za kupata taarifa kwa urahisi na kurahisisha usomaji.

Sasa wachambuzi wengi wanadhani watanzania wa leo ni mazumbukuku kama wa miaka 15 - 20 iliyopita.

Hii imepelekea wachambuzi wengi wa kandanda walio sahihi na wasio sahihi kupewa jina linalosadifu uhalisia wao "WACHAMBUZI WA MICHONGO".


Kitendo cha Shaffih Dauda kusema ya kwamba "Emiliano Martinez ndiye goli kipa wa kwanza kutoka America kusini kushinda tuzo ya goli kipa bora wa kombe la dunia" kimenisikitisha sana na kuwaza mambo mengi sana kuhusu huyu jamaa na wachambuzi wengine niliyowaamini na bila shaka watanzania wengi wapenda soka watakuwa walishangaa sana na kutoamini kama kweli ni yeye ndiye aliyetoa ile posti.

Shaffih Dauda kama mchambuzi nguli wa kabumbu hapa nchini alijizolea umaarufu hadi kuaminiwa na makampuni makubwa na kuwa balozi wao,ukiachana na mambo ya ubalozi pia aliweza kuwashawishi wadau mbalimbali kudhamini michuano ya ndondo cup ambako huko amejipatia mipesa ya kutosha.

Sasa nilichogundua ni kwamba,hawa wachambuzi wa miaka hiyo akiwemo Shaffih Dauda mwenyewe, walitudanganya sana kwasababu watanzania wengi tulikuwa si wafuatilia mambo na kujikuta tunavutiwa nao tukiamini wanalifahamu soka kumbe ilikuwa sivyo!.

Kitendo cha Shaffih Dauda kukosolewa hadharani na mpigania haki Malisa kinaonyesha namna ambavyo jamaa halijui soka bali ni kanjanja,hivi ni kweli kabisa Shaffih hili halikuwa halifahamu mpaka kufahamishwa na mtu ambaye uchambuzi wa soka si kazi yake?,hivi kweli kwa teknolojia ya leo alishindwa hata ku-google ili kuhalalisha uchambuzi wake?,au ni mapenzi na mahaba ya Emiliano Martnez ndiyo yalifanya aposti ule ujinga.

Hiki kitendo kimefichua mambo mengi sana kwa jamaa na tafsiri yake ni kwamba,hata hapo Clouds ashukuru miaka hiyo anapata ajira bado wabongo wengi walikuwa vilaza kwenye masuala ya soka, kupitia uongo wake jamaa leo amejipatia maisha mazuri sana.

Kibaya zaidi bado anataka kuendeleza uongo kwenye dunia ambayo imejaa wasomi,wafuatilia mambo na watu makini katika soka,akiendelea na ujinga huu katika dunia ya watu wanaojua zaidi yake ataumbuka kwa ukanjanja wake.


Ni hayo tu.
shafih ni mara chache anaandika kwenye page zake kawapa platform vijana kuandika na kawasaidia sana wengine wametoka kwasababu yake hata kufungiwa na tff vijana wake waliandika , shaffih Kawa taasisi makosa kama hayo ni kawaida ndio maana awezi kuogopa vijana wake wanapokosea , maturity utulivu wa shaffih ni next level ndio maana kafanikiwa.
 
Sipingi kwamba hawezi kosea,Ila nahisi shafi hiyo page Kuna vijana kawaajiri

Hamna kuajiri wala nn msikubali kujazwa hapo ni vijana daywaka tu na alichosema mtoa mada kina ukweli 100% kuna issue juzi tu hapa alitoa boko lingine
 
Wachambuzi wengi aiseee ni hamna kitu ukitaka kujua hilo angalia ligi mabingwa africa ? Wachambuzi wanaenda kugoogle timu inayocheza na simba au yanga then wanakuja na maelezo yao basi wabongo tunawaona wako vizur sana kisa wanaongezea maneno kama double pivot, 4,4,2 diamond,

Kiufupi hakuna wachambuzi tz yan hapo wasafi ndio hamna kitu lakin ndio mtu ana acha mise zake anasikiliza sports arena.
unamjua GEORGE ambangile wa wasaf fm. au unadhani wasaf anachambua mpira diamond.
 
Back
Top Bottom