Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Magoli ya Mayele ndiyo haya ya offside, mengine mengi yalikuwa makosa ya kibinadamu.
View attachment 2651845
Mwisho wa kunukuuMagoli ya Mayele ndiyo haya ya offside, mengine mengi yalikuwa makosa ya kibinadamu.
View attachment 2651845
Masakala hamkosekanagi[emoji23][emoji23][emoji23]Magoli ya Mayele ndiyo haya ya offside, mengine mengi yalikuwa makosa ya kibinadamu.
View attachment 2651845
Si tumeamua tuchambue goli kwa goli, haya twendeni msikimbie tu...🤣😂🤣Masakala hamkosekanagi[emoji23][emoji23][emoji23]
Sakabaho weww🤣🤣Si tumeamua tuchambue goli kwa goli, haya twendeni msikimbie tu...🤣😂🤣
Uwe unacrop picha hizo kenge wee 🤣😂🤣
Kenge mwezangu nimekuelewa [emoji16]Uwe unacrop picha hizo kenge wee [emoji1787][emoji23][emoji1787]
Na hapo wameshinda na ubingwa wamechukua ila wanazimia kwa kukosa kiatu 🤣😂🤣
Kila sehemu kuna kanuni tofauti ,UEFA hawana advantage ya goli la ugenini je Africa hiyo ipo ?Shafii Dauda ameamua KUJIAIBISHA!!! Anachokisema hakijawahi kufanyika popote duniani!! Angalia mkeka wa top scorers kwenye epl mahali ambapo wachezaji wamefungana magoli ni nani alitajwa kwanza na kwa kigezo kipi?
Mkeka wa wafungaji bora EPL wa kwanza ni Halaand magoli 36, wa pili ni Harry Kane magoli 30, ........................................................wa saba ni Martin (arsenal) magoli 15 na assist 7, wa nane ni Ollie (Aston Villa) magoli 15 na assist 6, wa tisa ni Gabriel (Arsenal) magoli 15 na assist 5, wa kumi ni Saka (arsenal) magoli 14 na assist 11, wa kumi na moja ni Aleksandar (Fulham) magoli 14 na assist 1, wa kumi na mbili ni Lodrigo (Leeds) magoli 13 na assist 1 michezo 31, wa kumi na tatu ni Harvey (Leicester city) magoli 13, assist 1, michezo 34.
Angalia nafasi ya saba, nane, na tisa wote wana magoli 15, lakini wamezidiana assist. Ila bongo watu hawashindwi kujitoa ufahamu kwa kitu kilicho wazi!!
Uchambuzi kulipa fadhila ya kupelekwa Niger kwa ndege ya bureSaidoo hawezi akawa mchezaji bora, magoli 17. kafunga Hat trick 2, goli tano Kwenye mechi moja Maana yake magoli zaidi ya 11 kafunga kwenye mechi 3, na kamfunga nani, Swali la 2!
Fiston Mayele anadeserve kuwa MVP kwa kuwa goli analofunga mechi moja moja ndiyo Wanakuwa Mabingwa.
View attachment 2651812
Kwani anatafutwa mwenye assist nyingi au magoli mengi? Ulaya mkifungana wote mnapewa tuzoShafii Dauda ameamua KUJIAIBISHA!!! Anachokisema hakijawahi kufanyika popote duniani!! Angalia mkeka wa top scorers kwenye epl mahali ambapo wachezaji wamefungana magoli ni nani alitajwa kwanza na kwa kigezo kipi?
Mkeka wa wafungaji bora EPL wa kwanza ni Halaand magoli 36, wa pili ni Harry Kane magoli 30, ........................................................wa saba ni Martin (arsenal) magoli 15 na assist 7, wa nane ni Ollie (Aston Villa) magoli 15 na assist 6, wa tisa ni Gabriel (Arsenal) magoli 15 na assist 5, wa kumi ni Saka (arsenal) magoli 14 na assist 11, wa kumi na moja ni Aleksandar (Fulham) magoli 14 na assist 1, wa kumi na mbili ni Lodrigo (Leeds) magoli 13 na assist 1 michezo 31, wa kumi na tatu ni Harvey (Leicester city) magoli 13, assist 1, michezo 34.
Angalia nafasi ya saba, nane, na tisa wote wana magoli 15, lakini wamezidiana assist. Ila bongo watu hawashindwi kujitoa ufahamu kwa kitu kilicho wazi!!