Shaffih Dauda: Saido hawezi kuwa Mchezaji Bora

Shaffih Dauda: Saido hawezi kuwa Mchezaji Bora

TFF wanaona aibu kutumia sheria waliyo itumia mwaka jana,haya kama vp wagawane wakikate kati.
 
Saidoo hawezi akawa mchezaji bora, magoli 17. kafunga Hat trick 2, goli tano Kwenye mechi moja Maana yake magoli zaidi ya 11 kafunga kwenye mechi 3, na kamfunga nani, Swali la 2!

Fiston Mayele anadeserve kuwa MVP kwa kuwa goli analofunga mechi moja moja ndiyo Wanakuwa Mabingwa.
View attachment 2651812
duhh!!!
kumbe old man kafunga goli 11 ktk mechi 3 tu?
asa naelewa why wametoka patupu msimu huu...
 
Tukisema bongo wengi ni wa mchongo tunaonekana tuna chuki binfsi


Huwa napenda sana kauli ya Rtd CAG prof Assad kuwa wengi(alisema 60%) ya watumishi wa Tanzanian ni below average (yaani uwezo mdogo)

Mimi ni mwana simba ila sjasema kwasababu kasema saidoo hastahili, ila nasema hivi kwasababu ni unprofessional kuanza kusema eti alizifunga hatrick team dhaifu

Team dhaifu ikawa premier league??

Tuchukue mfano basi league tano zile kubwa duniani

EPL
Bundasliga
LA liga
Seria A
League 1

Lini umewahi kusikia wachambuzi wa huko abroad wakidai mbape anafunga sana ila ligi yao league 1 team nyingi ni za kawaida, lini umeskia hii kauli kwa mchambuzi professional akisema hivyo??

Messi&Ronaldo hadi hapo walipofika na magoal mengi waliyokuwa nayo mengi wamezifunga team za kawaida

Messi hajawahi ifunga Bayern goal zaidi ya 4 ila keshakutana nayo inaweza fika Mara 10

Pili si lugha nzuri hata wenye hizo team wakisikia kuwa "kazifunga team za aina gani" wala hazitapendeza kwao ni kauli za dharau

Mbona Mimi si mchambuzi ila maoni yangu rahisi tu ilikuwa yanatosha kusema MVP hapewi mtu kwa kuzingatia kigezo kimoja tu cha magoli na isitoshe hajaanza msimu hivyo ana michezo michache na facts nyingine nyingi

Kwangu mimi binafsi it's unprofessional kusema team dhaifu,za aina gani

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom