Shaffih Dauda: Simba imenyimwa penati

Shaffih Dauda: Simba imenyimwa penati

Mchambuzi wa mpira wa Clouds Fm, Shaffih Dauda “Digala” anasema kuwa Simba imenyimwa penati dakika ya mwisho baada ya Boka wa Yanga kumchezea madhambi Kijili ndani ya Box lakini mwamuzi Sasii akauchuna.

Digala akaongeza, “lile ni tuta haina haja ya VAR”
Very clear penalty.
 
Simba wamshukuru refa sio kumlaumu, kupeta hiyo penati ni kubalance mzani tu.
 
Simba hata angepewa penalt tatu, asingeweza kuvuka ule ukuta.
Simba ni kijana wa kutumwa dukani wakati wowote.
 
Penati ingeanza kupiga Yanga kwa mchezaji wake kusukumwa na kuanguka ndani ya box la Simba, wazungumzie na hilo pia!

Tulijua makolo wakikandwa watakuja na lawama kibao badala ya kumpa Sasii bahasha yake!!
 
aziz Ki ile tunamshukuru refa ilikua goli sio offside. sema simba tuko vizuri mechi za ligi tukikutana itakua tushakua na muunganiko. yote ya yote derby za sasa mpira unachezwa sio kama zamani ilikua butubutu pira ladha hakuna
Vipi na ile rafu aliyochezewa Aziz Ki ndani ya box? Mechi ya leo ilikuwa ni ya kimbinu zaidi. Simba waliwa win Yanga dakika 20 za kwanza ni kama wachezaji wa Yanga walipoteana hawakuwa kwenye mchezo hasa eneo la ulinzi na kiungo. Ila kadri muda ulivyozidi kwenda presha kwao ikapungua na kuanza kucheza mpira wao wa siku zote japo walikuwa hawaendi kukabia juu bali walikaba golini kwao kwa kuziba njia. Kipindi cha pili Yanga walirudi kwa kucheza mpira wa ku press kwa kiasi kikubwa na ilisabanisha wachezaji wa Simba kupoteza sana mipira na kufanya makosa mengi. Pacome weka mbali na watoto huyu jamaa ni habari nyingine. Dube yupo sharp sana nadhani kutolewa kwake kumeipa unafuu hata Simba japo Mzize leo alijitahidi kusumbua ngome ya Simba. Msimu huu nimeona Yanga wakibadilisha aina ya mpira wao kwanzia mechi ya kwanza ya kirafiki.

Ngoja tuone muda utatupa jibu Simba itakuwa ni timu ya aina gani maana bado kikosi kina muda mfupi pengine mapungufu yatarekebishika na kutoa upinzani kwenye mbio za ubingwa wa ligi na FA
 
Penati ya Aziz nayo?au kwakuwa kasema Shaffih? Goli la Pacome na Aziz nayo ambayo refa alisema offside? au nayo mpaka Shaffih aseme.
 
Mchambuzi wa mpira wa Clouds Fm, Shaffih Dauda “Digala” anasema kuwa Simba imenyimwa penati dakika ya mwisho baada ya Boka wa Yanga kumchezea madhambi Kijili ndani ya Box lakini mwamuzi Sasii akauchuna.

Digala akaongeza, “lile ni tuta haina haja ya VAR”
ni kweli na yanga wamenyimwa goli
 
Mchambuzi wa mpira wa Clouds Fm, Shaffih Dauda “Digala” anasema kuwa Simba imenyimwa penati dakika ya mwisho baada ya Boka wa Yanga kumchezea madhambi Kijili ndani ya Box lakini mwamuzi Sasii akauchuna.

Digala akaongeza, “lile ni tuta haina haja ya VAR”
Yanga amekataliwa magoli 2 ya wazi na penati, goli la Aziz K na Pacome, pia clear penati ya Aziz K!

Fauls nyingi walizokuwa wanacheza simba na nyingine za kadi refa alikuwa anameza filimbi! Huyu refa alikuwa na kila dalili ya kuchezesha kwa maagizo kutoka juu🚮🚮🚮
 
Marefa wetu ufanisi mdogoo sana,game ya Kaizer chief niliona umakini mkubwa sana wa marefaa wa SA na maamzi sahihi kabisa.
 
Back
Top Bottom