Cytochrome p450
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,638
- 15,044
Huyo novatus ni mchezaji wake anamsimamia kupitia kampuni yake ya shadaka sports...so punguza makasiriko.Nasemajeee!
Napenda kukuambia ndugu Shaffih Dauda, uchawa umezidisha.. utaacha lini?
Alivyotoka Mbwana Samatta, kimbele mbele kikakuanza. Ukawa hukauki kwenda ubelgiji...
Huyo sio chawa ni meneja wa mchezajiNasemajeee!
Napenda kukuambia ndugu Shaffih Dauda, uchawa umezidisha.. utaacha lini?
Alivyotoka Mbwana Samatta, kimbele mbele kikakuanza. Ukawa hukauki kwenda ubelgiji...
Hajui alichokiandika huyu ajui kitu msameheunajua uyo Dismas yupo chini ya management ipi?
Kulingana na maandishi yako, bado sijauona uchawa wake, labda kama kuna mengine tofauti na uliyoyaandika hapa.Nasemajeee!
Napenda kukuambia ndugu Shaffih Dauda, uchawa umezidisha.. utaacha lini?
Alivyotoka Mbwana Samatta, kimbele mbele kikakuanza. Ukawa hukauki kwenda ubelgiji...
Mzee wa mbwinde kavamia internetNasemajeee!
Napenda kukuambia ndugu Shaffih Dauda, uchawa umezidisha.. utaacha lini?
Alivyotoka Mbwana Samatta, kimbele mbele kikakuanza. Ukawa hukauki kwenda ubelgiji.
Akatoka bwana mdogo Kelvin John "Mbappe" na wewe kama kawaida yako hujiwezi!
Sasa hivi umeamia kwa Novatus Dismas Miroshi..
Bro kwahiyo mtanzania akishatoboa soka la ulaya wewe ndo uanze kujifanya unasapoti? Kabla hawajatoboa ulikua wapi?
Sasa hivi Mbwana yuko PAOK kwa kuwa anaelekea ukingoni ndo unajifanya umemkataa!
Najua upo humu Jf japo unamtumia kijana wako kupitia ID fake.
Sisi tunaku-zoom tu, hayo sio maisha!View attachment 2756081
Huyu mleta madaa ndio aachee uchawaa ..Usichokijua ni kwamba yeye ndo wakala anaewatafutia michongo huko nje kupitia shadaka sports, ni moja ya watu wanapambana kupeleka vijana huko kiufupi ni kwamba wapo chini yake..
Ngaramtoniii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..Umetokea wapi?
Jamaa hanaga akili huyo itakuwa kanywa gongo ndo maana anatoa bokoNgaramtoniii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..
C ungemuulizaa amekunywaa pombeee ya wapiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..
Hamjui hata shafii vzr anavyosaidia vijana wapate fursaa za kwenda ulaya na wengine kucheza ligi za nyumban na Africa kiujumlaa..
Kbs mkuuJamaa hanaga akili huyo itakuwa kanywa gongo ndo maana anatoa boko
Hajanywa kama angekuwa amekunywa pombe hainaga ujinga kama wakeNgaramtoniii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..
C ungemuulizaa amekunywaa pombeee ya wapiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..
Hamjui hata shafii vzr anavyosaidia vijana wapate fursaa za kwenda ulaya na wengine kucheza ligi za nyumban na Africa kiujumlaa..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hakikaaa ,ajui asilimiaa kadha ya vijana wanaojitafutaa kisokaa huko ulaya wamepitaa mikonon mwa shafii..Hajanywa kama angekuwa amekunywa pombe hainaga ujinga kama wake
Yuko soba ,anahitaji msaada
Na ndomana nasema hivyo ,na nashindwa kuamini ,je ni shafii amekuja kivingine Ili aone namna Gani tunatambua mchango wake kwenye soka ,basi katukosea kwasababu mtu aina yangu tunajua kilakitu anafanya ,basi katukosea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hakikaaa ,ajui asilimiaa kadha ya vijana wanaojitafutaa kisokaa huko ulaya wamepitaa mikonon mwa shafii..
[emoji120][emoji120][emoji120]ameelewaa sasaa..Na ndomana nasema hivyo ,na nashindwa kuamini ,je ni shafii amekuja kivingine Ili aone namna Gani tunatambua mchango wake kwenye soka ,basi katukosea kwasababu mtu aina yangu tunajua kilakitu anafanya ,basi katukosea
Lakini ,kama nihuyo Malcom wa mchongo , amatafute shafii ,amfunze KAZI hua zinafanywaje