Shaffi anajua sana kumtoa Manara kwenye reliShaffih anatumia Akili Mingi Sana kuliko lile Zuzu....
Anaposema Shaffih mla rushwa, ujue yeye na GSM yao ndio watoa rushwa nambari MOYA kwa timu ndogo + Marefa
Huyo mapele safari yake imeishia Ilulu,hutamsikia tenaMkuu hadi huyu Mayele aliyetufunga?
Sawa mkuu tusubiri tuone ila yasije yakajirudia yale ya zawadi mauya.Huyo mapele safari yake imeishia Ilulu,hutamsikia tena
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Typing errorWazamini ndiyo nini
Manara akiwa Simba,Shafii alikua anapambana naye ili kujitengea pande Yanga kuwa anaweza kumdhibiti Manara.Watu wa mpira,
Haji Manara amekuwa akilialia kuhusu Shafi Dauda akiwa Simba na sasa kahamishia kilio Yanga! Mtoto wa Kariakoo anahenyeshwa na "mhaya" kama anavyopenda kumuita mwenyewe hadi anatia huruma.
Pamoja na unazi wangu kwa Simba lakini nafikiri "Mhaya" na mtoto wa Kariakoo watakuwa na issues personal ambazo ni siri yao na mpira unatumika kunyooshana tu.
Mshaurini Haji Manara abakie kuwa msemaji na si kujivika vyeo zaidi ya majukumu yake. Kama "Mhaya" kuna sheria anakiuka Yanga wana Legal Department ambayo sio idara ya Manara! Manara amkosoe Shaffih kimpira badala ya kashfa za rushwa kwa mwenzake.
Mtoto wa Kariakoo kila maji yakizidi unga anakimbilia kashfa [emoji38][emoji38], sasa born town unapanikishwa vipi na mtoto wa bara? Mbona ligi ndio kwanza imeanza mzee? Timu mnajaza Wakongo alafu mnategemea nini zaidi ya sebene [emoji2960][emoji2960]
[emoji23][emoji23][emoji23]halafu anawahi kushtaki..jerry muro ndo nuksi!Kiboko yake ni Jerry muro anamnyoosha sana
Ni kweli mkuu hata kule kigoma waliusokomezea ndani ule mwiko wetu wa daimaUkumbuke hao wakongo ndio walitusulubu kwa mkapa vipi kuhusu wale wacheza makirikiri?
Kweli mkuu, ndiyo maana Mzee Tozi alishindwa kuvumilia hii miuno ya kike kabisaHaji ana vinasaba vya kike,kwa hiyo kulialia usishangae
Shaffii hajamchambua Manara amechambua wahuni waliojaa kwenye 18 kabla ya penati kupigwaShaffih naye akili hamna kitu,yy akigombana na Manara anataka ajumuishe watu wote....na tatizo lake mambo yake yasipoenda sawa atakushambulien had bas.Kwa kifup ni mchambuzi hewa au wa mchongo tu.
Na akizidiwa sana utasikia, "..ooh mnanisimanga kwasababu mimi Albino...!"Haji ana weakness sehemu anapenda sana kusema wenziwe lakini akiguswa yeye shida...hapendi kukosolewa,hapendi challenge ipo siku atakutana na kichwa kibovu atamlipua tu kama anavyofanya yeye kwa wenziwe!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Sahihi kabisaa anapenda kujivictimize!Na akizidiwa sana utasikia, "..ooh mnanisimanga kwasababu mimi Albino...!"