Shaffih Dauda Vs Haji Manara

Shaffih Dauda Vs Haji Manara

Kwa kiasi kikubwa shaffih na manara wameajiri watu ili kuziongoza social network zao...hivyo kuna possibility kubwa shaffih na manara wakawa meza moja wanapata mvinyo na kuwashangaa watu wanavyonunua tu ugomvi
 
Watu wa mpira,

Haji Manara amekuwa akilialia kuhusu Shafi Dauda akiwa Simba na sasa kahamishia kilio Yanga! Mtoto wa Kariakoo anahenyeshwa na "mhaya" kama anavyopenda kumuita mwenyewe hadi anatia huruma.

Pamoja na unazi wangu kwa Simba lakini nafikiri "Mhaya" na mtoto wa Kariakoo watakuwa na issues personal ambazo ni siri yao na mpira unatumika kunyooshana tu.

Mshaurini Haji Manara abakie kuwa msemaji na si kujivika vyeo zaidi ya majukumu yake. Kama "Mhaya" kuna sheria anakiuka Yanga wana Legal Department ambayo sio idara ya Manara! Manara amkosoe Shaffih kimpira badala ya kashfa za rushwa kwa mwenzake.

Mtoto wa Kariakoo kila maji yakizidi unga anakimbilia kashfa [emoji38][emoji38], sasa born town unapanikishwa vipi na mtoto wa bara? Mbona ligi ndio kwanza imeanza mzee? Timu mnajaza Wakongo alafu mnategemea nini zaidi ya sebene [emoji2960][emoji2960]
Manara akiwa Simba,Shafii alikua anapambana naye ili kujitengea pande Yanga kuwa anaweza kumdhibiti Manara.

Sasa Manara yupo Yanga,nafasi ya Afisa habari Simba iko wazi,so Shafii anapamba kuipata kwakuonesha kuwa yeye ni kiboko ya Manara.

Rejea kwa Mwijaku,kapamba mpaka amepata uhamasishaji kisa tu,kaonesha ana uwezo wa kumdhibiti Manara.

So tatizo ni uafisa habari pale Simba,na mtu hatoipata bila kuonesha uwezo wa kumdhibiti ama kupambana na Manara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shaffih naye akili hamna kitu,yy akigombana na Manara anataka ajumuishe watu wote....na tatizo lake mambo yake yasipoenda sawa atakushambulien had bas.Kwa kifup ni mchambuzi hewa au wa mchongo tu.
 
Haji ana weakness sehemu anapenda sana kusema wenziwe lakini akiguswa yeye shida...hapendi kukosolewa,hapendi challenge ipo siku atakutana na kichwa kibovu atamlipua tu kama anavyofanya yeye kwa wenziwe!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Na akizidiwa sana utasikia, "..ooh mnanisimanga kwasababu mimi Albino...!"
 
Makolo muli bwaji bhabhaa![emoji3][emoji3]
 
Hilo li dauda si linanunuliwa tu nani asiyejua na likidevu lake kama vile alisuguliwa kwenye lami akabamizia uso
 
Back
Top Bottom