Kigera Kwetu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,448
- 1,311
Tanzania tulitoa wana habari wangapi wa Habari za michezo kwenye hizo Tunzo?Nchi zote za Africa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania tulitoa wana habari wangapi wa Habari za michezo kwenye hizo Tunzo?Nchi zote za Africa
Ata kama iyo taasisisi anaitambua yeyetu ndio tayari imeshamtambulisha nasisi uku tumeitambua.Hiyo tuzo imetolewa na taasisi inayotambulika? Na ubora wa shafii upo katika angles ipi?
picha za sebuleni!Tuzo za uchochoroni hizi
Hili bumunda tapeli tuMchambuzi wa michezo kutoka HiliGame na SportsXtra za CloudsFM @shaffihdauda_ ameshinda tuzo ya Mwanahabari bora wa habari za michezo barani Afrika kwa mwaka 2023 .
Utoaji huo wa tuzo ulifanyika mwezi Disemba mwaka 2023 nchini Ghana , mapema leo asubuhi akiwa nchini Ivory Coast [emoji1081] kwenye mashindano ya AFCON Shaffih Dauda amekabidhiwa tuzo yake kutoka Management of AFRICAN FOOTBALL AWARDS
NB: kwenye AFCON tumefeli .....na kwenye tuzo tushindwe.... haiwezekani [emoji23]View attachment 2876539
Yaani nawewe ni mchambuzi? Labda uchambue mcheleMchambuzi mwenzangu anaupiga mwingi ..umpe maua yake
Unamtetea sana baba watoto wako,mpende mumeoWivu mbaya sana
Acheni utani. Yaani Shafi anamzidi hadi Mark Gleeson?Mchambuzi wa michezo kutoka HiliGame na SportsXtra za CloudsFM @shaffihdauda_ ameshinda tuzo ya Mwanahabari bora wa habari za michezo barani Afrika kwa mwaka 2023 .
Utoaji huo wa tuzo ulifanyika mwezi Disemba mwaka 2023 nchini Ghana , mapema leo asubuhi akiwa nchini Ivory Coast [emoji1081] kwenye mashindano ya AFCON Shaffih Dauda amekabidhiwa tuzo yake kutoka Management of AFRICAN FOOTBALL AWARDS
NB: kwenye AFCON tumefeli .....na kwenye tuzo tushindwe.... haiwezekani [emoji23]View attachment 2876539