ministrant
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 754
- 1,478
Sasa ukijimaliza kwa kuanza na silaha za msaada moto wa adui ukiwa mkali utachomokea wapi?Hapana mkuu.....una SILAHA nzito ...khinzal,,,,, juvelin ....LMG ( Light machine gun) then unatumia AK 47 vitani ???
ULEE N USHINDI KWA STARS MKUUU MOROCO SI SPORTSPORTTumepona kichapo Cha 5 [emoji113][emoji23]
Ngapi ?At least tungekufa kiume
Bacca ni mpumbavu kivipi?.Huyo Edo hana tofauti na wale jamaa wa mwisho wa reli.
Mimi naona kocha ni mjanja sana anatumia hizi mechi ambazo anajua hatufiki popote kufanya rotation ili afanye scoutong vyema,
Nani alijua kuwa bacca ni mpumbavu?
Ya uchambuzi ? HahahahaHiyo ni carrier yake mkuu
tunawashukuru sanaaWametuhurumia
Uko sahihi 100%.Huyo Edo hana tofauti na wale jamaa wa mwisho wa reli.
Mimi naona kocha ni mjanja sana anatumia hizi mechi ambazo anajua hatufiki popote kufanya rotation ili afanye scoutong vyema,
Nani alijua kuwa bacca ni mpumbavu?