Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Weee uko vzr ,means unajua mpira unataka nn na mechi husika ikojeAjabu Sana [emoji38],mm huwa sisikilizi wachambuzi hao mpira nauchambuwa mwenyewe
kwani akitoa maoni inabadili ukweli kuwa ni mchambuzi.?Hivi watanzania huwa hamuwezi kuchambua mpira wenyewe mpk muwafuate hao mnawaita wachambuzi ? Mutu anatoa maoni yake yeye km yeye mnamuita mchambuzi
Hakuna kushinda wala kutoshinda...!!, Huwezi uakingia kwnye mechi Kama hiyo bila key prayers Kama hao.Nadhani hayo maoni na maswali yamekuja baada ya dk 90 kuisha!
Fikiria kama Starts wangeshinda, unadhani wangekuwa wanasemaje baada ya dk 90?
Mutu ya Congo. Unaandika ukiwa wapi?Hivi watanzania huwa hamuwezi kuchambua mpira wenyewe mpk muwafuate hao mnawaita wachambuzi ? Mutu anatoa maoni yake yeye km yeye mnamuita mchambuzi
Mkuu, wala usidhani kuwa kile kikosi kingeanza tungeshinda, Waarabu walisharidhika baada ya kuongoza 2-0. Hawakuwa wakitumia nguvu tena esp kuanzia dk ya 60. Pale tungesawazisha ungeona balaa lao. Tujipange tutafika.kuna kitu niliona japo mimi sio mchambuzi. baada msuva na mbwana samatta kuingia game ilibadilika sana wangeanza mwanzo waarabu wangeambulia droo. wakina kibu waje kumalizia
taifa stars imeshaanza kuwa ya kiccm siajabu ni nape na makamba wamepanga kikosi.
Hilo ni lipumbavu achana naloBacca ni mpumbavu kivipi?.
Kwa Ivo wewe ulitegemea ushindi kwa akili zako?Tuwe wakweli......Kwa kikosi kilichoanza isingewezekana kushinda
Sio Edo ni Shaffih!!Huyo Edo hana tofauti na wale jamaa wa mwisho wa reli.
Mimi naona kocha ni mjanja sana anatumia hizi mechi ambazo anajua hatufiki popote kufanya rotation ili afanye scoutong vyema,
Nani alijua kuwa bacca ni mpumbavu?
Mwaikenda kachimesha mechi janaMorocco wenyewe mbona wamecheza kizembe Sana. Wametupiga Mbili Tu!. Wangepiga lile pira lao la kupanda wote na kushuka wote uone kazi. Kongole Sana kwa kocha Kwa kuwapa nafasi vijana wapya waoneshe Vipaji vyao(Morris,Charles,Mwaikenda n.k). Kwa vyovyote vile Jana mimi nimeenjoy sana pira la vijana wetu!.