Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Mambo iko bienSawa. Mambo byee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna kitu niliona japo mimi sio mchambuzi. baada msuva na mbwana samatta kuingia game ilibadilika sana wangeanza mwanzo waarabu wangeambulia droo. wakina kibu waje kumalizia
taifa stars imeshaanza kuwa ya kiccm siajabu ni nape na makamba wamepanga kikosi.
Hao mastaa waliwah fanya nn kipindi Cha nyuma.Hii list ya Jana ya wachezaji ... kocha alipangiwa na nani?
Yaani unaacha mastaa wako nje?"[emoji47][emoji47]..... Shafii
Msuva sub
Samata sub
Job sub ....kukamilisha ukuta wa yericko
Feitoto.....nje
Mudathiri .....sub
Kibu ......ndani
Hata kama mpira una maajabu ....but haiwezi kuwa kirahisi hiviView attachment 2821324
Huyo Edo hana tofauti na wale jamaa wa mwisho wa reli.
Mimi naona kocha ni mjanja sana anatumia hizi mechi ambazo anajua hatufiki popote kufanya rotation ili afanye scoutong vyema,
Nani alijua kuwa bacca ni mpumbavu?
Zuzu kazini.Huyo Edo hana tofauti na wale jamaa wa mwisho wa reli.
Mimi naona kocha ni mjanja sana anatumia hizi mechi ambazo anajua hatufiki popote kufanya rotation ili afanye scoutong vyema,
Nani alijua kuwa bacca ni mpumbavu?
Alifanya majaribio ya wachezajiNi kweli kabisa team inakaba kwa nguvu sana ila wakipata mpira hata dakika moja haifiki tayari wameshapokonywa team haina utulivu ni butua butua tu kiufupi jana kocha kazingua sana yaani wachezaji wanakimbia kama wanakimbiza swala porini.
Hii timu ya taifa mkuu[emoji1][emoji1]jana mngeshinda utopolo wangesema timu yao.ila kwa kuwa mmefungwa mmekaa kimya
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Kuwa mzalendo mkuu......bila ccm inawezekana usingekuwa hewani humu jfNaipongeza Morocco kuyaadabisha maccm,japo goli zilikuwa chache ila wakija kwenu najua hamtatungusha Wazalendo wa nji hii jipigieni hadi yachakae kabisa kama choo cha magunia