Shafii Dauda ni mchambuzi uchwara, hafai hata kuchambua rede

Shafii Dauda ni mchambuzi uchwara, hafai hata kuchambua rede

7fe6881bf15cd0b2376d5f4eed4caf10.jpg
 
Theory moja ambayo huwa nashindwa kuielewa ni vile ambapo tunaweza kuendelea kumsikiliza mtu tunayelalamika kwamba anatuboa, una-tune in Sports Extra ya Clouds FM saa tatu unajua kabisa Shaffii atakuwepo, na atakuboa, kweli anakuboa kesho unarudia tena kusikiliza, hivyo hivyo kila siku.

Bahati nzuri sasa kuna watu wengine wengi ambao wanafanya kama jamaa na unasema kwamba hao ndo bora zaidi yake, lakini hujipi muda wa kuwasikiliza kama unavyosikiliza anayekuboa.

Nakumbuka First Take ya ESPN, nilikuwa simpendi Skip Bayless, lakini kila mara siku namsikiliza na naendelea kulalamika, thanks God alihama ESPN kwa hiyo saa hizi hata simsikilizi kabisa, labda mara moja moja nikijihisi kummiss.

Hapo huwa sielewi kabisa theory yake, kwa nini tusiache kumsikiliza?
The Point has been spoken.
[emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
Kilichokuuma ni hiyo picha..na hivi vitu vinatokeaga kwny mpira..relax bro!! Punguza munkari [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahaaaa hata kuchambua rede....teh..teh...
Binafs namkubali Eddo
 
najua !lakini asili yangu nilipozaliwa nimejikuta natumia hizo 'ga' usinilaum!
Hahah MBITIYAZA I won't blame you as long as you don't blame Shaffih for making similar language mistakes as yours...

Hata yeye ataji-defend kwamba kwake lugha gongana...
 
'ananiboaga' nayo ni lugha kengeufu kama 'still bado'
....still bado...is "bado x 2" sidhani kama "ananiboaga" kuna neno limejirudia hapo though root word ni kiingereza...ni kama nikuambie "umefeli" kumtetea huyo bwana wa "still bado" 😀😀😀😀
 
....still bado...is "bado x 2" sidhani kama "ananiboaga" kuna neno limejirudia hapo though root word ni kiingereza...ni kama nikuambie "umefeli" kumtetea huyo bwana wa "still bado" 😀😀😀😀


yeah nimekuelewa !
 
Back
Top Bottom