Shafii Dauda ni mropokaji

Shafii Dauda ni mropokaji

Azam wanasema wakicheza na YANGA ama SIMBA pale TAIFA mara mbili mbili kwa msimu, inamaanisha wamecheza big match zote UGENINI, wanakosa ile HOME ADVANTAGE

Home advantage ipi watu wote wapo Dar ? Unataka uwanja wa Azam Uporomoke?
 
Mkuu kwani lazima wote tujae uwanjani! Mbona mechi na EM, idadi ilipotimia uwanja ukafungwa!


Nakubali unayosema ila at least watu 25,000 ingekuwa reasonable ,hizi timu zina washabiki wengi na only means is mapato to cover part of cost of managing the team,ila Azam hawana shida ya hela.
 
Azam wana uwezo wa kurekebisha uwanja ukaingiza mashabiki kati ya 25,000 hadi 30,000
Kwa hali iivyo sasa hivi si rahisi mechi kati ya Azam na Yanga au Simba ichezwe pale. Hiyo home advantage wanayozumgumzia ni ipi na ina tofauti gani kwa Yanga na Simba?

Angalia jinsi mapato mengi yanavyopotea kulipa uwanja wa Taifa. Huwa najiuliza hivi Azam, Yanga na Simba zikiwa na viwanja vyake, hayo makato ya uwanja, TFF, DRFA yatakuwa na ulazima gani? Pale Old Trafford, Anifield na kwingineko wanalipa makato hayo zaidi ya kodi ya mapato?
 
Huyu jamaa ni kweri ni mlopokaji,kila siku analalamika tff kutoongeza vyanzo vya mapato halafu leo anatetea kupunguza
 
Tutakuwa tunawaonea gere hawa jamaa Wa clouds! Mbona yako vizuri kwenye michezo?!!!
 
Nilimaikiliza vizuri sana Shafih na nilimuelewa vizuri sana

Tatizo ni Tff na uwanja wa Taifa kukimbilia mapato badala ya uhalisia
Azam wametumia pesa kujenga uwanja wao na kinachopatikana hata kama ni kidogo asilimia kubwa wanapata wao
Lakini kikubwa zaidi ni ADVANTAGE ya kucheza nyumbani ambayo ikitumiwa vizuri italeta point

Malengo ya mashindano ni kupata point zaidi na si pesa zaidi
Kila timu inauwanja wake wa nyumbani ambao Azam wamechagua Chamanzi, kwahiyo kuwalazimisha wachezee Taifa ikicheza na Simba na Yanga tu si sahihi
Mbona akija Mgambo inacheza Chamanzi? Na je mgambo hawahstahili "usalama" kama baadhi wanavyodai?

Swala la mapato uwanja wa nyumbani ni la timu mwenyeji sasa kama baadhi wa kikosa nafasi kwani lazima wote tuingie uwanjani?
Azam anahitaji point kwanza mengine baadae na si pesa kwanza mengine baadae

Kimantiki maana yake ni kwamba mechi za simba na yanga Azam anacheza ugenini mechi zote nne

Qpr uwanja wao ni25elf na Arsenal 80elf lakini hata siku moja mechi ya qpr haiwezi kuchezwa Amirate
Huko mikoani kuna viwanja vibovu Chamanzi nafuu lakini simba na yanga vinacheza ila hapa dar.......

Watu wasichojua kucheza taifa kuna mkwanja mrefu unabaki kulipia uwanja, bado mgao wa ttf bado mgao baraza la michezo nk
 
Nilimaikiliza vizuri sana Shafih na nilimuelewa vizuri sana

Tatizo ni Tff na uwanja wa Taifa kukimbilia mapato badala ya uhalisia
Azam wametumia pesa kujenga uwanja wao na kinachopatikana hata kama ni kidogo asilimia kubwa wanapata wao
Lakini kikubwa zaidi ni ADVANTAGE ya kucheza nyumbani ambayo ikitumiwa vizuri italeta point

Malengo ya mashindano ni kupata point zaidi na si pesa zaidi
Kila timu inauwanja wake wa nyumbani ambao Azam wamechagua Chamanzi, kwahiyo kuwalazimisha wachezee Taifa ikicheza na Simba na Yanga tu si sahihi
Mbona akija Mgambo inacheza Chamanzi? Na je mgambo hawahstahili "usalama" kama baadhi wanavyodai?

Swala la mapato uwanja wa nyumbani ni la timu mwenyeji sasa kama baadhi wa kikosa nafasi kwani lazima wote tuingie uwanjani?
Azam anahitaji point kwanza mengine baadae na si pesa kwanza mengine baadae

Kimantiki maana yake ni kwamba mechi za simba na yanga Azam anacheza ugenini mechi zote nne

Qpr uwanja wao ni25elf na Arsenal 80elf lakini hata siku moja mechi ya qpr haiwezi kuchezwa Amirate
Huko mikoani kuna viwanja vibovu Chamanzi nafuu lakini simba na yanga vinacheza ila hapa dar.......

Watu wasichojua kucheza taifa kuna mkwanja mrefu unabaki kulipia uwanja, bado mgao wa ttf bado mgao baraza la michezo nk

kwanini yeye awasemee azam, ulishawahi kusikia azam wanalalamika?
 
Hayo yote ni pumba.....TFF na wajanja wao wote wanaangalia matumbo yao na jinsi gani ya kupiga chapaa....
 
Back
Top Bottom