Mna tatizo la kocha hajui mechi gani wafunguke na mechi gani wacheze tight marking/defensive. Wachezaji tunao kiasi fulani ila kocha tumeliwa mchana kweupeee!!Unaona simba wako baridi kabisa, Nazani tatizo waliwatisha mno, kwamba wawe makini kutowachezea hao jamaa rafu kama tulivyosoma kwenye mitandao, umakini ndio unatakiwa uwanjani lakini siio kuogopa kucheza faulo, na ndio maana wameshinda kirahisi, ila hawa jamaa wanafungika kabisa, ila waachane na mambo sijui msiwachezee rafu, wakati sometimes rafu haikwepeki maana ni sehemu ya mchezo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vumbi limeisha kwasababu ndiyo wakongo walijipaka lote na kuwashuhulikia bao tano.Simba msisahau kutuletea vumbi la kongo
Fabrice luamba ngoma,ile ndio injini ya as vita,hata sijui anasubiria nn pale congo!
Niliposoma line up na kumuona huyu mpishi nikawaambia jamaa zangu kama huyu jamaa atakuwa kwenye kiwango chake, basi Leo ndo siku ya watu kumdharau Chama.Fabrice luamba ngoma,ile ndio injini ya as vita,hata sijui anasubiria nn pale congo!
Niliposoma line up na kumuona huyu mpishi nikawaambia jamaa zangu kama huyu jamaa atakuwa kwenye kiwango chake, basi Leo ndo siku ya watu kumdharau Chama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fundi hasa, hata Misri alitekeleza majukumu yake vilivyo.Yule jamaa fundi
Wewe bado ni mjinga kweli unakumbuka tu eti simba 5 yanga 0 mie nakumbuka ile mechi yanga alikuwa na migogoro balaa mbaya wachezaji waliharibu ile mechi makusudi kabisa .Mie nashangaa simba kiwango walichoonyesha kwa Algeria sio cha kufungwa goli 5 .Hiyo inaitwa egener soma hiyo......