Shafii Dauda sasa nimekuelewa

Shafii Dauda sasa nimekuelewa

Haya yalikuwa ni mauaji ya alaiki tena ya kikatili, Simba wamekutana na cha mbwa koko !!! hawa jamaa wa kongo ni kati ya watu wnye roho mbaya sana na wasio na huruma
 
Unaona simba wako baridi kabisa, Nazani tatizo waliwatisha mno, kwamba wawe makini kutowachezea hao jamaa rafu kama tulivyosoma kwenye mitandao, umakini ndio unatakiwa uwanjani lakini siio kuogopa kucheza faulo, na ndio maana wameshinda kirahisi, ila hawa jamaa wanafungika kabisa, ila waachane na mambo sijui msiwachezee rafu, wakati sometimes rafu haikwepeki maana ni sehemu ya mchezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mna tatizo la kocha hajui mechi gani wafunguke na mechi gani wacheze tight marking/defensive. Wachezaji tunao kiasi fulani ila kocha tumeliwa mchana kweupeee!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani sisi hapa Nyumbani Tanzania sijui tufanyeje ili soka letu lisonge mbele,Wenzetu wanavyocheza unaona kabisa kwamba kuna kitu kinafanyika,Poleni sana Watani but we have long way to go.

Sent from Gamboshi air line
 
Hata kocha aliyewahi kuifundisha Simba SC, Babu Msoma alitoa angalizo la Simba kucheza na timu kama Chipukizi au Gulioni ukategemea kucheza vizuri Caf Champion League

Source : Dauda TV
 
Raul Shungu kocha msaidizi wa AS Vita Club afunguka kuhusu mpira wa Simba uliopelekea mpaka kubugizwa mabao 5 kwa bila leo jijini Kinshasa DR Congo


Source : Dauda TV
 
Poleni vyura
IMG-20190119-WA0011.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
je hii unaikumbuka! SIMBA 5 - YANGA 0

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe bado ni mjinga kweli unakumbuka tu eti simba 5 yanga 0 mie nakumbuka ile mechi yanga alikuwa na migogoro balaa mbaya wachezaji waliharibu ile mechi makusudi kabisa .Mie nashangaa simba kiwango walichoonyesha kwa Algeria sio cha kufungwa goli 5 .Hiyo inaitwa egener soma hiyo......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom