Neema kiula
Member
- Jan 10, 2019
- 17
- 23
Mkuu mbona huna huruma hivyo. Ila simba wapunguze majigambo hasa mh manaraSasa hivi nimekuelewa tafsiri yako ya UNDERDOG
Mwanzo Nilikasirika saana,yaani unaiita Simba UNDERDOG yaani MBWA WA CHINI
Ujumbe wako Shafii waliokuwa hawajakuelewa naamini wamekuelewa kwa vitendo,unajua hata mwalim akiona mwanafunzi haelewi anampa mifano halisi kama sie enzi hizo unaenda na seti ya Maharage,Machungwa, nk kisha Mwalim anakuambia INJINA SOMA IYOOOOO,TANO MWALIM
Sasa Simba walienda na Seti ya Mipira mitano
Angalia Youtube manara alipokuwa akihojiwa Airport,yaani unajua kabisaaa Mganga kaisha mwambia hamtoki
Mabingwa wa Kihistoria Simba,Azam sijui kama mtachombeza tena kwa style hio
Budget ya Simba kwa Mwaka Billion 3,As Vita Billion 20+
Nasubiria wa kumtupia paka
Magazeti yanawapoteza wachezaji wetu na masifa
Kikosi A Soura wanawasubiria tena Algeria
We ni mwenzangu. Soka la bongo nimeshalitupilia mbali.Nashukuru Nafsi yangu " haijanipatia ujinga wa kupenda soccer la bongo " soccer ambalo limejaa uwezo wa kiuchezaji wa " midomoni na kwenye media kuliko ule upatikanao kwenye pitch ..
Bongo bahati mbaya -- wananchi wake wanaupenda sana mchezo wa mpira wa miguu " lakini bahati mbaya iliyoje " taasisi yao hiyo imekosa viongozi makini weledi wazalendo " wenye uchungu na ukuuaji ustawi wa mchezo huo hapa nchini " na bahati mbaya tasnia hiyo imejaza viongozi wana siasa walowezi " janja janja. Ambao wameikita mizizi yao hapo kwaajili ya maslahi ya matumbo yao na ya jamaa zao waliowaweka hapo " ....
Sent using Jamii Forums mobile app
JF raha sana**Ila 5 nyingi sana...kama nadanganya waulize wanandoa**[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnajifariji tu na madharau yenu, mbona huku kwenye ligi mbao zilikula simba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
As vita imeipiga 5-0 simba, hapa tunaongelea present tense na sio past [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbumbumbu wanakumbushia tu vitu vilivyopita miaka hiyo, wanashindwa kutambua huu ni mwaka 2019 na wamekalia 5-0Wewe bado ni mjinga kweli unakumbuka tu eti simba 5 yanga 0 mie nakumbuka ile mechi yanga alikuwa na migogoro balaa mbaya wachezaji waliharibu ile mechi makusudi kabisa .Mie nashangaa simba kiwango walichoonyesha kwa Algeria sio cha kufungwa goli 5 .Hiyo inaitwa egener soma hiyo......
Sent using Jamii Forums mobile app
RekodiAs vita imeipiga 5-0 simba, hapa tunaongelea present tense na sio past [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Rahaaaaaa siiiiii rahaaaaaaa?thanks bamutu ba kongo, mmetulipia mkono!
Haha ha
Haha ndio ambavyo team za tz zinavyo jazagwa upepo na media za bongo
hahaa ha haa ...aisee**Ila 5 nyingi sana...kama nadanganya waulize wanandoa**[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni neno la kizungu tu ambalo watu wamelitafsiri vibaya. Yaani watu wanadhani kaishusha simba toka jina SIMBA mpaka MBWA.Sasa hivi nimekuelewa tafsiri yako ya UNDERDOG
Mwanzo Nilikasirika saana,yaani unaiita Simba UNDERDOG yaani MBWA WA CHINI
Ujumbe wako Shafii waliokuwa hawajakuelewa naamini wamekuelewa kwa vitendo,unajua hata mwalim akiona mwanafunzi haelewi anampa mifano halisi kama sie enzi hizo unaenda na seti ya Maharage,Machungwa, nk kisha Mwalim anakuambia INJINA SOMA IYOOOOO,TANO MWALIM
Sasa Simba walienda na Seti ya Mipira mitano
Angalia Youtube manara alipokuwa akihojiwa Airport,yaani unajua kabisaaa Mganga kaisha mwambia hamtoki
Mabingwa wa Kihistoria Simba,Azam sijui kama mtachombeza tena kwa style hio
Budget ya Simba kwa Mwaka Billion 3,As Vita Billion 20+
Nasubiria wa kumtupia paka
Magazeti yanawapoteza wachezaji wetu na masifa
Kikosi A Soura wanawasubiria tena Algeria