Shafii Dauda sasa nimekuelewa

Shafii Dauda sasa nimekuelewa

Aisee hiko hakikuwa kipigo cha underdog, hiki kilikuwa cha mbwa koko
 
Sasa hivi nimekuelewa tafsiri yako ya UNDERDOG

Mwanzo Nilikasirika saana,yaani unaiita Simba UNDERDOG yaani MBWA WA CHINI

Ujumbe wako Shafii waliokuwa hawajakuelewa naamini wamekuelewa kwa vitendo,unajua hata mwalim akiona mwanafunzi haelewi anampa mifano halisi kama sie enzi hizo unaenda na seti ya Maharage,Machungwa, nk kisha Mwalim anakuambia INJINA SOMA IYOOOOO,TANO MWALIM

Sasa Simba walienda na Seti ya Mipira mitano

Angalia Youtube manara alipokuwa akihojiwa Airport,yaani unajua kabisaaa Mganga kaisha mwambia hamtoki

Mabingwa wa Kihistoria Simba,Azam sijui kama mtachombeza tena kwa style hio

Budget ya Simba kwa Mwaka Billion 3,As Vita Billion 20+

Nasubiria wa kumtupia paka
Magazeti yanawapoteza wachezaji wetu na masifa
Kikosi A Soura wanawasubiria tena Algeria
Mkuu mbona huna huruma hivyo. Ila simba wapunguze majigambo hasa mh manara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashukuru Nafsi yangu " haijanipatia ujinga wa kupenda soccer la bongo " soccer ambalo limejaa uwezo wa kiuchezaji wa " midomoni na kwenye media kuliko ule upatikanao kwenye pitch ..

Bongo bahati mbaya -- wananchi wake wanaupenda sana mchezo wa mpira wa miguu " lakini bahati mbaya iliyoje " taasisi yao hiyo imekosa viongozi makini weledi wazalendo " wenye uchungu na ukuuaji ustawi wa mchezo huo hapa nchini " na bahati mbaya tasnia hiyo imejaza viongozi wana siasa walowezi " janja janja. Ambao wameikita mizizi yao hapo kwaajili ya maslahi ya matumbo yao na ya jamaa zao waliowaweka hapo " ....



Sent using Jamii Forums mobile app
We ni mwenzangu. Soka la bongo nimeshalitupilia mbali.

Nikijiapiza kurudi pindi ccm itakapobinafsisha simba,yanga na viwanja vyote nchini.

Aliyenielewa anyooshe mkono juu.
 
Wewe bado ni mjinga kweli unakumbuka tu eti simba 5 yanga 0 mie nakumbuka ile mechi yanga alikuwa na migogoro balaa mbaya wachezaji waliharibu ile mechi makusudi kabisa .Mie nashangaa simba kiwango walichoonyesha kwa Algeria sio cha kufungwa goli 5 .Hiyo inaitwa egener soma hiyo......

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbumbumbu wanakumbushia tu vitu vilivyopita miaka hiyo, wanashindwa kutambua huu ni mwaka 2019 na wamekalia 5-0

Sent using Jamii Forums mobile app
 
As vita imeipiga 5-0 simba, hapa tunaongelea present tense na sio past [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Rekodi
Screenshot_2019-01-20-07-26-37-1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hivi nimekuelewa tafsiri yako ya UNDERDOG

Mwanzo Nilikasirika saana,yaani unaiita Simba UNDERDOG yaani MBWA WA CHINI

Ujumbe wako Shafii waliokuwa hawajakuelewa naamini wamekuelewa kwa vitendo,unajua hata mwalim akiona mwanafunzi haelewi anampa mifano halisi kama sie enzi hizo unaenda na seti ya Maharage,Machungwa, nk kisha Mwalim anakuambia INJINA SOMA IYOOOOO,TANO MWALIM

Sasa Simba walienda na Seti ya Mipira mitano

Angalia Youtube manara alipokuwa akihojiwa Airport,yaani unajua kabisaaa Mganga kaisha mwambia hamtoki

Mabingwa wa Kihistoria Simba,Azam sijui kama mtachombeza tena kwa style hio

Budget ya Simba kwa Mwaka Billion 3,As Vita Billion 20+

Nasubiria wa kumtupia paka
Magazeti yanawapoteza wachezaji wetu na masifa
Kikosi A Soura wanawasubiria tena Algeria
Ni neno la kizungu tu ambalo watu wamelitafsiri vibaya. Yaani watu wanadhani kaishusha simba toka jina SIMBA mpaka MBWA.
Underdog ni neno kuwa ktk kundi lao, timu zilizopo humo ni bora zaidi ya Simba. Kitu ambacho ni kweli. Sasa Manara sijui english yake ikoje maana sijawahi msikia akiongea zaidi ya kuchomeka vimaneno tu.
 
Back
Top Bottom