Shafii Dauda sasa nimekuelewa

Shafii Dauda sasa nimekuelewa

Unaona simba wako baridi kabisa, Nazani tatizo waliwatisha mno, kwamba wawe makini kutowachezea hao jamaa rafu kama tulivyosoma kwenye mitandao, umakini ndio unatakiwa uwanjani lakini siio kuogopa kucheza faulo, na ndio maana wameshinda kirahisi, ila hawa jamaa wanafungika kabisa, ila waachane na mambo sijui msiwachezee rafu, wakati sometimes rafu haikwepeki maana ni sehemu ya mchezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanasimba walizidisha imaginations
IMG-20190119-WA0046.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli simba wameoneshwa soka lá kimataifa, mbinu Kali, nguvu, akili uwezo binafsi na ukatili mbele ya goli!.. Vita sio wa kuwachezea wale jamaa.. pongezi apewe kocha wao kwa aina ya soka lile.. na pia kuhusu issue ya kuwa na wachezaji wenye miili mikubwa ni muhimu kwa soka la África...
 
Nashukuru Nafsi yangu " haijanipatia ujinga wa kupenda soccer la bongo " soccer ambalo limejaa uwezo wa kiuchezaji wa " midomoni na kwenye media kuliko ule upatikanao kwenye pitch ..

Bongo bahati mbaya -- wananchi wake wanaupenda sana mchezo wa mpira wa miguu " lakini bahati mbaya iliyoje " taasisi yao hiyo imekosa viongozi makini weledi wazalendo " wenye uchungu na ukuuaji ustawi wa mchezo huo hapa nchini " na bahati mbaya tasnia hiyo imejaza viongozi wana siasa walowezi " janja janja. Ambao wameikita mizizi yao hapo kwaajili ya maslahi ya matumbo yao na ya jamaa zao waliowaweka hapo " ....



Sent using Jamii Forums mobile app
Swadakta
Bado ni tatizo sana
Leo nchi kama Lesotho,comoro madagasca zimeimarika,wakati zilikuwa vibonde,sie tupo pale pale na magazeti yetu.porojo tele
 
January 19, 2019
Kinshasa, DR Congo

Full highlights all goals in a Caf Champion league 2019 match :

AS VITA CLUB 5 - 0 SIMBA SC
Venue straight from Stade des Martyrs de la Pentecote in Kinshasa, DR Congo


Mundele 14' na 74'
Botuli 19'
Ngoma 45+ 2'
Makwekwe 71'

Aisee zingefika kumi duhh
 
Underdog=Msibahati
Na sio mbwa wa chini au chini ya mbwa[emoji848][emoji848]

"ᴬ ᵐᵃⁿ ʷʰᵒ ˢᵗᵃⁿᵈˢ ᶠᵒʳ ⁿᵒᵗʰⁱⁿᵍ ʷⁱˡˡ ᶠᵃˡˡ ᶠᵒʳ ᵃⁿʸᵗʰⁱⁿᵍ"
Alaa,kumbe
Sasa simba wamepewa Msibahati,ila hata nawewe umekosea in HATIMSIBA au HATIKIFO
 
Back
Top Bottom