Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maelezo yako ila n mtizamo wangukwnn unasema ivo
Sawa mkuuView attachment 2775235
kwa heshima yako tu
subiri nipite tuu hii njia ya mbele hiyoo nyuma hapana.njia umeiacha apo nyuma kdg mkono wa kulia
MH! HII CHAI HAIJAKOLEA TANGAWIZI KABISASiku hizi mimi sisalimiagi, twendelee
nilikutana na pisi yako Shafii huku mkoani nikaomba namba ikanipa baada ya siku kupita nikafanya approaching ikazingua a real man does not give up easily siku iliyofuata nikamfata tit for tat nikaongeanae dem kanichana kuwa anamtu wake na anampenda
Conversation was like
{Her. Acha tu nikuweke wazi mm nina mtuwangu na ninampenda
Me. Kwani huyo mtu yupo wapi
Her. Dar
Me. wewe Dar umetoka lini
Her. Mwaka umeisha
Me. Una uhakika yeye atakuwa bado anakupenda kama unvyofikiri na unadhani kwa muda wote huo hajapata tu mtu mwingine
Her. Namuamini ila inawezekana isiwe ivo maana nimuhuni
Me. (Yes(kimoyo moyo nkasema)) Mim najua sawa atakuwa anakutumia text anakwambia nakupenda lakin haiwezekan kwa muda wote huo
Her. Sawa nitafikilia lakin na mm bado nampenda
Me. Aaaah wew nisikilize mim yey hawezi kukuwazia tu wew kwa muda wote huo, haya hapo Dar una ndugu?
Her. Hapana mm nilikuwa tu nafanya kazi nilipomaliza nikaondoka
Me. Inabidi tu ukubali hapo hamna mapenz tena
Her. Nitakupa jibu nikafikilie
Me. Aaah wew nae mambo ya kufikilia ni yakizaman
Her. Sasa D atakama ni wew unamtu unaempenda unaweza kumuacha kirahis ivo?
Me. (nikawaza nikisema ndio itaonekana nitabia yangu inamaana hata yeye nitamfanyia ivo) nikakubali bas ww kafikilie utanipa jibu}
Siku iliyofuata nikaambiwa bado nitakupa jibu, lakini mazoea yalikuwa yanazidi, na tunachat sana ila nikumaga kwa kumwambia nakupenda sijibiwi siku inaisha ivo
Siku kama ya 4 mbele nikamfata tena
Conversation was like
{Me. vp inamaana bado tu unafikilia muda wote huo
Her. Lakin D mm nilitaka tu tuwe marafiki
Me. Hapana Hamnaga urafiki wa namna hiyo yan mm niwe rafikia ako na uku nakupenda sasa ndo urafiki gani
Her. Sawa kesho nakupa jibu la mwisho mana hata yeye sikuiz hanitumii text kama zaman
Me.(yes yes yes) Fanya ivo }zikaendelelea na story nyingine ambazo haziusiani siku ikapita ivo.
Siku iliyofata tukachat kama kawaida sina haraka ya kuomba jibu hapo nahamisha akili yake kdg kdg ili ajikute ananizoea zaidi ili abaki na jawabu kama akinikataa atamiss mambo mengi.
zikapita siku kadhaa tena tukachat ile namuaga nakupenda the respond was like mimi pia (nikaenda kwanza bafuni kutoa haja ndogo uku nacheka halaf nilivo rudi ndo nikauliza) kweli? Her . Ndy
Bhana mahusiano na hiyo pisi yakawa yameanzia hapo ila nikiamini kabisa kwamba bado yupo na mtu wake, kuna siku alikuwa ameishiwa bando nikachukua simu yake ili nimjazie vocha niunganishe na kifurushi nikakuta mwamba wa Dar analalamika kuwa sasa hivi hana hela yupo tu amekaa (ingawa na mim ni jobless ila huyu jamaa ni jobless sugu)dem alivogundua nimekuta hizo text alishituka ila sikutaka kudis sana.
Ila kadri siku zilivoenda nikagundua dem hata hapa mkoani sio kwao ni kwa dada ake means na mim nitaachwa kama shafii na pi nikagundua dem ni bikira(kidume nikawaza kutafuna mbususu chap chap ili niweke legacy) siku zikapita muda wa mtoto kuondoka ukafika kwa bahati mbaya sikupata nafasi ya kuchakata bas akaondoka.
tukawa tunachat tu ila badae nikawaza kutumia mbinu moja ((Love Control and Stimulation) hii nitaifungulia thread nielezee zaidi hii hata dem akikuacha nikama wew ndo umemuacha yan dem utamcontrol unavyotaka subirieni wanawake walale kwanza) muda ukaenda siku moja nikamzingua makusudi kwa kutumia LCS halaf kesho yake nikajipeleka huko kwao kuomba msamaha nikasamehewa.
Baada ya siku kama 5 kupita nikampanga kesho kutwa nakuja nimekumiss na nataka kukuchakata akasema haina shida, Ebwana siku ikafika muda ukafika nikatembea mkoa kuifata fursa tukakutana badae tukaenda kutafuta chumba tukapata.
(
Siku inafika nakula vitu vitamu
Namlisha anakula, anatabasamu
Anakunywa akilewa poteza fahamu
Fanya mitikasi ya kwenda kutafuta room
Nipate room ya kwenda kumwaga sumu
Kabla ya kumwaga sumu, kwanza nawasha ndumu
Namwambia mambo muhimu .by MR BLUE
)
mambo ya romancy yakaanza ila shida sasa kwenye kuruhuxu mlango upitishe wageni ikawa tabu tukasumbuana sana mpaka analia nikasema isiwe tabu na mood ikapotea tukaondoka kuna zawadi aliniambia nikifika nitaenda kumchukulia lakin nakahailisha na hela ya nauli ya kurudia makwao sikumpa tukasambaa ivo muda ulikuwa umeenda sana.
Bas tangu hiyo siku dem alinichukia vibaya nikituma text hazijibiwi nikipiga sim 20 inajibiwa moja
.Sasa hapo nikasema ngoja nirudi tena kwenye mfumo wangu LCS Ebwana mambo yakaenda vizur baada ya wiki na nusu manzi imenifata yenyewe huku mkoani ninapoishi ijumaa iliyopita nikatafuna mbususu dem akaludi makwao.
Baada ya siku moja shafii nae akapiga sim kwa dem anamwambia dem najua wew ni bikira vp umeisha lala na mtu? (nimegundua hayo maongezi kupitia LCS)
dem akasema hapana lakin ndo ivo kimeisha umana siku iliyofata dem kamwambia jamaa ukweli mpaka sasa hivi hawaelewani na mpango uliokuwepo ni miezi michache apo mbele jamaa anatuma nauli dem aende Daslam
Haaa mambo ni mengi kwakweli niishie hapa najua wapo walokole mtakuja kuongea mengi
Angalizo Shafii ukiendelea kukaza fuvu mim nitaendelea kula tu
View attachment 2775219
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilijua shafii dauda
Ila mwamba kuna uwezekano mkubwa hujala hiyo pisi.
View attachment 2775235
kwa heshima yako tu