Shahada ya pili (masters) vs Darasa la nne la zamani.

DZUDZUKU

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2012
Posts
3,909
Reaction score
2,115
"Elimu yetu ipo shakani, sasa hivi mtu mwenye shahada mbili analingana na mtu wa darasa la nne la zamani"

Hii ni kauli iliyo ongelewa na mtanganyika mwenye shahada tatu (Phd).
Alichokizungumza ni sawa?
 
Sawa elimu yetu si bora sana ila si kiasi hicho cha kulinganisha masters na darasa la nne.Huyo jamaa kavurugwa,inaonyesha hizo degree amechakachua
 
DR Slaa ndio mmiliki wa hiyo kauli
 

So why unauliza? Biblia iko wazi wala hipindinishi neno
 
DR Slaa ndio mmiliki wa hiyo kauli

Yes, Dr. Is the owner of that phrase, but i ddnt want to mention him because i wanted logical points and not defending point from his followers. Baadhi ya wafuasi hujadili kwa hisia bila logic.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…