Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oops, afadhali, kidogo nidhanie wameacha kudahili kabisa kitivo cha sheria, mabinti warembo tungewapata wapi sie.
Hii style ya uandishi inaitwa Janjajanja style. Jamaa hajaenda Law school fursa inampita hivi hivi...
Lex legum baccalaurius
Oops, afadhali, kidogo nidhanie wameacha kudahili kabisa kitivo cha sheria, mabinti warembo tungewapata wapi sie.
Nyie ndo ambao hamtulii na ndoa zenu binti akikupiga chini unamfelisha kwenye CW.
Alaaa kumbe, sikulijua hili, hivi eeeh!!Oops, afadhali, kidogo nidhanie wameacha kudahili kabisa kitivo cha sheria, mabinti warembo tungewapata wapi sie.
Wadau wa sheria nchini, nadhani hii concept ya Law School watu bado hawajaelewa au ni kukurupuka.
Siku hizi naskia mtu mwenye digrii ya sheria akienda kuomba tempo ya kufundisha sekondari eti anambiwa athibitishe kama amepitia law school na amekuwa admitted kama advocate. hii law school haijaeleweka kabisa.
Kwanini nauliza kama hii shahada imefutwa au la?
Nimeona kazi zimetangazwa, ila kazi ambayo anaweza kufanya mtu wa Sociology au Digrii nyingine, ila wa Sheria anaambiwa awe amepitia Law School, inamaana digrii ya sheria haijakamilika ama?
Hizi hapa chini ni mfano wa kazi ambazo mwenye LL.B hana vigezo ila mtu wa course ya Sociology au Public Administration anaweza pata
6.0 THE COMMISSION FOR MEDIATION AND ARBITRATION
(CMA)
The Commission for Mediation and Arbitration (CMA) is an independent Government
Institution, established under Section 12 of the Labor Institutions Act No. 7 of 2004 (LIA No. 7 of 2004).
6.1 MEDIATOR II - 28 POSTS RE- ADVERTISED
6.1.1 QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE
· Bachelor Degree in Law, with accomplishment of internship or law school of Tanzania. Or
· Holders of Bachelor Degree in Economics, Social Sciences (Sociology, Human
Resources and Public Administration) or Advance Diploma in Labor Studies, with Post Graduate Diploma in Law Mediation and Arbitration from a recognized Academic Institution.
· Exposure to labor relations and dispute resolution will be an added advantage.
· Should have good discipline, healthy and ready to work anywhere in Tanzania
Mainland.
6.2 ARBITRATOR II - 26 POSTS - RE- ADVERTISED
6.2.1 QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE
· Bachelor Degree in Law, with accomplishment of internship or law school of Tanzania. Or
· Holders of Bachelor Degree in Economics, Social Sciences (Sociology, Human
Resources and Public Administration) or Advanced Diploma in Labor Studies, with Post Graduate Diploma in Law Mediation and Arbitration from a recognizedAcademic Institution.
· Exposure to labor relations and dispute resolution will be an added advantage.
· Should have good discipline, healthy and ready to work anywhere in Tanzania Mainland.
Its is annoying especially kuona a law student anakua haqualify kwenye mambo wa mediation na arbitration ila wa sociology na human resource wanq qualify sio sawa kabisa utumishi inatakiwa wakemewe..!
It's really illogical to think that a law graduate cannot perform duties that a sociology or PA graduate can do. And more particular in mediation or arbitration issues. It's just foolish
.
By the way these guys depended on HELSB for their law degree how can they afford that law school?
Hapo umepotosha mdau.. Hata hao wa socialogy hapo wameambiwa wawe na postgraduate diploma ya law... Kwa nafas hizo za arbitrator na mediator
ujaelewa bado kwa Post ya MEDIATOR na ARBITRATOR, muombaji akiwa na LLB sharti awe amepitia Law School ambapo huko anakuqa ameiva practically vivyo hivyo na yule mwenye Degree ya Social science ni lazima naye awe amemaliza pia Postgraduate Diploma in Law, Mediation and Arbittation ambapo huko nako kuna pure Practical hasa MOOTS MEDIATION AND ARBITRATION ambayo kila muhitimu lazima apitieWadau wa sheria nchini, nadhani hii concept ya Law School watu bado hawajaelewa au ni kukurupuka.
Siku hizi naskia mtu mwenye digrii ya sheria akienda kuomba tempo ya kufundisha sekondari eti anambiwa athibitishe kama amepitia law school na amekuwa admitted kama advocate. hii law school haijaeleweka kabisa.
Kwanini nauliza kama hii shahada imefutwa au la?
Nimeona kazi zimetangazwa, ila kazi ambayo anaweza kufanya mtu wa Sociology au Digrii nyingine, ila wa Sheria anaambiwa awe amepitia Law School, inamaana digrii ya sheria haijakamilika ama?
Hizi hapa chini ni mfano wa kazi ambazo mwenye LL.B hana vigezo ila mtu wa course ya Sociology au Public Administration anaweza pata
6.0 THE COMMISSION FOR MEDIATION AND ARBITRATION
(CMA)
The Commission for Mediation and Arbitration (CMA) is an independent Government
Institution, established under Section 12 of the Labor Institutions Act No. 7 of 2004 (LIA No. 7 of 2004).
6.1 MEDIATOR II - 28 POSTS RE- ADVERTISED
6.1.1 QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE
· Bachelor Degree in Law, with accomplishment of internship or law school of Tanzania. Or
· Holders of Bachelor Degree in Economics, Social Sciences (Sociology, Human
Resources and Public Administration) or Advance Diploma in Labor Studies, with Post Graduate Diploma in Law Mediation and Arbitration from a recognized Academic Institution.
· Exposure to labor relations and dispute resolution will be an added advantage.
· Should have good discipline, healthy and ready to work anywhere in Tanzania
Mainland.
6.2 ARBITRATOR II - 26 POSTS - RE- ADVERTISED
6.2.1 QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE
· Bachelor Degree in Law, with accomplishment of internship or law school of Tanzania. Or
· Holders of Bachelor Degree in Economics, Social Sciences (Sociology, Human
Resources and Public Administration) or Advanced Diploma in Labor Studies, with Post Graduate Diploma in Law Mediation and Arbitration from a recognizedAcademic Institution.
· Exposure to labor relations and dispute resolution will be an added advantage.
· Should have good discipline, healthy and ready to work anywhere in Tanzania Mainland.