Shahada ya sheria (LL.B) imefutwa rasmi Tanzania?

Shahada ya sheria (LL.B) imefutwa rasmi Tanzania?

mbona hujasema kuwa digrii ya kwanza ya udaktari ilishafutwa? sababu nayo bila internship mambo hayajaenda sawa
 
Mi naona kwa Tanzania hii sansa, kia kitu kikianza kupatikana kwa wingi wanatengeneza utaratibu wa kubana kidogo.Mfano, madereva na NIT. Hivi ni kweli kwamba amani hatukuwa na Madreva wazuri? Mbona hata kaba ya Lw School tulikuwa na wanasheria nguli... Haafu hao madereva wanaofundisha NIT wao walijifunza NIT ya wapi? Hawa mawakili wanaofundisha law school wo walipata wapi kibali cha kufundisha hiyo kitu? Naomba ikumbukwe kwamba hao mawakii wanawabania sana vijana wetu kw kisingizio kwamba wkienda mtaani wataanza kuwania na kuchukuwa kai zao? Wakati wenzetu wanazalisha wansheria wengi (Kenya, Uganda) nyie mnawabana wakwenu halafu mnasema uhuru wa ajra mnategemea nini? Mambo mengine tunakurupuka tu.
 
It's really illogical to think that a law graduate cannot perform duties that a sociology or PA graduate can do. And more particular in mediation or arbitration issues. It's just foolish
.
By the way these guys depended on HELSB for their law degree how can they afford that law school?
 
Its is annoying especially kuona a law student anakua haqualify kwenye mambo wa mediation na arbitration ila wa sociology na human resource wanq qualify sio sawa kabisa utumishi inatakiwa wakemewe..!
 
sheria haina maana tena ni bora imafutwa...what is law school BTW?
 
Oops, afadhali, kidogo nidhanie wameacha kudahili kabisa kitivo cha sheria, mabinti warembo tungewapata wapi sie.

Nyie ndo ambao hamtulii na ndoa zenu binti akikupiga chini unamfelisha kwenye CW.
 
Sasa unataka nimfelishie wapi? Lazima ujue pa kupiga, na wakati gani upige, ndio akili za maisha hizo.

Nyie ndo ambao hamtulii na ndoa zenu binti akikupiga chini unamfelisha kwenye CW.
 
Wadau wa sheria nchini, nadhani hii concept ya Law School watu bado hawajaelewa au ni kukurupuka.

Siku hizi naskia mtu mwenye digrii ya sheria akienda kuomba tempo ya kufundisha sekondari eti anambiwa athibitishe kama amepitia law school na amekuwa admitted kama advocate. hii law school haijaeleweka kabisa.



Kwanini nauliza kama hii shahada imefutwa au la?

Nimeona kazi zimetangazwa, ila kazi ambayo anaweza kufanya mtu wa Sociology au Digrii nyingine, ila wa Sheria anaambiwa awe amepitia Law School, inamaana digrii ya sheria haijakamilika ama?

Hizi hapa chini ni mfano wa kazi ambazo mwenye LL.B hana vigezo ila mtu wa course ya Sociology au Public Administration anaweza pata

6.0 THE COMMISSION FOR MEDIATION AND ARBITRATION
(CMA)

The Commission for Mediation and Arbitration (CMA) is an independent Government

Institution, established under Section 12 of the Labor Institutions Act No. 7 of 2004 (LIA No. 7 of 2004).

6.1 MEDIATOR II - 28 POSTS – RE- ADVERTISED

6.1.1 QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE

· Bachelor Degree in Law, with accomplishment of internship or law school of Tanzania. Or

· Holders of Bachelor Degree in Economics, Social Sciences (Sociology, Human

Resources and Public Administration) or Advance Diploma in Labor Studies, with Post Graduate Diploma in Law Mediation and Arbitration from a recognized Academic Institution.

· Exposure to labor relations and dispute resolution will be an added advantage.

· Should have good discipline, healthy and ready to work anywhere in Tanzania
Mainland.

6.2 ARBITRATOR II - 26 POSTS - RE- ADVERTISED

6.2.1 QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE

· Bachelor Degree in Law, with accomplishment of internship or law school of Tanzania. Or

· Holders of Bachelor Degree in Economics, Social Sciences (Sociology, Human

Resources and Public Administration) or Advanced Diploma in Labor Studies, with Post Graduate Diploma in Law Mediation and Arbitration from a recognizedAcademic Institution.

· Exposure to labor relations and dispute resolution will be an added advantage.

· Should have good discipline, healthy and ready to work anywhere in Tanzania Mainland.

Hapo umepotosha mdau.. Hata hao wa socialogy hapo wameambiwa wawe na postgraduate diploma ya law... Kwa nafas hizo za arbitrator na mediator
 
Its is annoying especially kuona a law student anakua haqualify kwenye mambo wa mediation na arbitration ila wa sociology na human resource wanq qualify sio sawa kabisa utumishi inatakiwa wakemewe..!

Waliotoa hayo masharti syo utumishi.. Ni waajiri wenyewe.. Hata hivyo na hao wa hr na socialogy wamepewa sharti la kuwa na post graduate diploma ya sheria kwa mujibu wa hilo tangazo
 
It's really illogical to think that a law graduate cannot perform duties that a sociology or PA graduate can do. And more particular in mediation or arbitration issues. It's just foolish
.
By the way these guys depended on HELSB for their law degree how can they afford that law school?

ThumbUp homie😛
 
Mwanasheria anayetakiwa hapo una mshahara mnono na ni top wa wote hivyo sharti awe na law school
 
Hapo umepotosha mdau.. Hata hao wa socialogy hapo wameambiwa wawe na postgraduate diploma ya law... Kwa nafas hizo za arbitrator na mediator

Post graduate ya law, mediation and arbitration, kutoka kutoka chuo/taasisi yoyote inayotambuliwa sana sana kutoka chuo cha ustaw wa jamii, kama una LLb chagua moja ili upate kazi hyo usome law school au ukasome hyo post graduate, ishu haijui hyo kaz inahusu nn
 
Wadau wa sheria nchini, nadhani hii concept ya Law School watu bado hawajaelewa au ni kukurupuka.

Siku hizi naskia mtu mwenye digrii ya sheria akienda kuomba tempo ya kufundisha sekondari eti anambiwa athibitishe kama amepitia law school na amekuwa admitted kama advocate. hii law school haijaeleweka kabisa.



Kwanini nauliza kama hii shahada imefutwa au la?

Nimeona kazi zimetangazwa, ila kazi ambayo anaweza kufanya mtu wa Sociology au Digrii nyingine, ila wa Sheria anaambiwa awe amepitia Law School, inamaana digrii ya sheria haijakamilika ama?

Hizi hapa chini ni mfano wa kazi ambazo mwenye LL.B hana vigezo ila mtu wa course ya Sociology au Public Administration anaweza pata

6.0 THE COMMISSION FOR MEDIATION AND ARBITRATION
(CMA)

The Commission for Mediation and Arbitration (CMA) is an independent Government

Institution, established under Section 12 of the Labor Institutions Act No. 7 of 2004 (LIA No. 7 of 2004).

6.1 MEDIATOR II - 28 POSTS  RE- ADVERTISED

6.1.1 QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE

· Bachelor Degree in Law, with accomplishment of internship or law school of Tanzania. Or

· Holders of Bachelor Degree in Economics, Social Sciences (Sociology, Human

Resources and Public Administration) or Advance Diploma in Labor Studies, with Post Graduate Diploma in Law Mediation and Arbitration from a recognized Academic Institution.

· Exposure to labor relations and dispute resolution will be an added advantage.

· Should have good discipline, healthy and ready to work anywhere in Tanzania
Mainland.

6.2 ARBITRATOR II - 26 POSTS - RE- ADVERTISED

6.2.1 QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE

· Bachelor Degree in Law, with accomplishment of internship or law school of Tanzania. Or

· Holders of Bachelor Degree in Economics, Social Sciences (Sociology, Human

Resources and Public Administration) or Advanced Diploma in Labor Studies, with Post Graduate Diploma in Law Mediation and Arbitration from a recognizedAcademic Institution.

· Exposure to labor relations and dispute resolution will be an added advantage.

· Should have good discipline, healthy and ready to work anywhere in Tanzania Mainland.
ujaelewa bado kwa Post ya MEDIATOR na ARBITRATOR, muombaji akiwa na LLB sharti awe amepitia Law School ambapo huko anakuqa ameiva practically vivyo hivyo na yule mwenye Degree ya Social science ni lazima naye awe amemaliza pia Postgraduate Diploma in Law, Mediation and Arbittation ambapo huko nako kuna pure Practical hasa MOOTS MEDIATION AND ARBITRATION ambayo kila muhitimu lazima apitie
 
Back
Top Bottom