scientificall
JF-Expert Member
- Jun 4, 2015
- 457
- 328
Katika kesi inayonikabili baada ya kuendelea hapa mahakama ya mwanzo. Kufikia upande wa shahidi wa utetezi yaani mimi kama mtuhumiwa.
Mbele ya hakimu nlisema ninao mashahidi 2, ambao ni mtu ninaeishi nae na mpaka siku natajwa na mshitaki kuwa aliniona nikimuibia nlikuwa kwangu na ninaeishi nae.
Shahidi wa pili ni jirani wa karibu ambae mshitaki alimuita asubuhi amfungulie mlango baada ya kufungiwa nje usiku.
Shahidi huyu wa pili aligoma kuwa shahidi wa mshitaki kwani alikuwa rafiki wake wa karibu sana lakini walikuja kukwazana na kugombana baada ya mshitaki kutengeneza tukio la kuibiwa na kudai aliniona mimi usiku nikimuibia.
Alihitaji huyo jirani ake awe shahidi wake lakini kutokana na uongo ambao angeenda kuhushahidia jirani ake amegoma na mshitaki aliamua kuhama kabisa na hata kabla ya kesi haijaisha.
Kwa upande wangu nilimtaja huyo jirani ake kama shahidi wangu baada ya kuona mshitaki anaidanganya mahakama kuwa alipiga kelele usiku hakusikika na alifunguliwa mlango usiku ule ule wakati ukweli ni kuwa alifunguliwa mlango asubuhi saa moja na jirani ake huyo.
Nimemuomba jirani ake huyo akantolee ushahidi juu ya mda alomfungulia mlango mshitaki na kutokusikika kwa kelele siku ya kuibiwa lakini amegoma kwa kudai mpaka apatiwe samasi ya kwenda huko.
Je kwa upande wangu naweza kuieleza nini mahakama juu ya kutokufika kwashahidi huyu?
Na ni shahidi muhimu sana kwa upande wangu.
Nawasilisha............
Mbele ya hakimu nlisema ninao mashahidi 2, ambao ni mtu ninaeishi nae na mpaka siku natajwa na mshitaki kuwa aliniona nikimuibia nlikuwa kwangu na ninaeishi nae.
Shahidi wa pili ni jirani wa karibu ambae mshitaki alimuita asubuhi amfungulie mlango baada ya kufungiwa nje usiku.
Shahidi huyu wa pili aligoma kuwa shahidi wa mshitaki kwani alikuwa rafiki wake wa karibu sana lakini walikuja kukwazana na kugombana baada ya mshitaki kutengeneza tukio la kuibiwa na kudai aliniona mimi usiku nikimuibia.
Alihitaji huyo jirani ake awe shahidi wake lakini kutokana na uongo ambao angeenda kuhushahidia jirani ake amegoma na mshitaki aliamua kuhama kabisa na hata kabla ya kesi haijaisha.
Kwa upande wangu nilimtaja huyo jirani ake kama shahidi wangu baada ya kuona mshitaki anaidanganya mahakama kuwa alipiga kelele usiku hakusikika na alifunguliwa mlango usiku ule ule wakati ukweli ni kuwa alifunguliwa mlango asubuhi saa moja na jirani ake huyo.
Nimemuomba jirani ake huyo akantolee ushahidi juu ya mda alomfungulia mlango mshitaki na kutokusikika kwa kelele siku ya kuibiwa lakini amegoma kwa kudai mpaka apatiwe samasi ya kwenda huko.
Je kwa upande wangu naweza kuieleza nini mahakama juu ya kutokufika kwashahidi huyu?
Na ni shahidi muhimu sana kwa upande wangu.
Nawasilisha............