MEGATRONE
JF-Expert Member
- Feb 22, 2014
- 1,140
- 2,141
Ile ni full package yule sharukh khan mzee kaua sana! Hadi zile nyimbo mule ndani ni nomaJawaan bonge la movie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile ni full package yule sharukh khan mzee kaua sana! Hadi zile nyimbo mule ndani ni nomaJawaan bonge la movie
Ile ni full package yule sharukh khan mzee kaua sana! Hadi zile nyimbo mule ndani ni noma
Sema don 3 ndo wame nikera aisee, nasikia srk Ali goma kuigizaVikram Rathor !!! Aisee kafunika kabisa
Sema don 3 ndo wame nikera aisee, nasikia srk Ali goma kuigiza
Nasikia wali pishana malipo, na jinsi story ya filamu inavyo paswa kuwa.Farhan Akhtar baada ya kugomewa na SRK alitakiwa aiue tu hiyo filamu, ila kulazimisha kuiendeleza na kuttutatia kilaza ameharibu sana
Nasikia wali pishana malipo, na jinsi story ya filamu inavyo paswa kuwa.
Beside, nasubiri kick 2, bun ya Salman Khan,
Nasikia wali pishana malipo, na jinsi story ya filamu inavyo paswa kuwa.
Beside, nasubiri kick 2, bun ya Salman Khan,
Labda mkuu, ngoja tusubiri kazi za Akshay Kumar. Ana houseful 4, na nyingine Kama 2.Siamini kama ni suala la malipo, Mara nyingi SRK hua hacharge malipo kwenye filamu ila anachukua Share kwenye Profit mara nyingi ni 50% mpaka 60%. Siamini kama Farhan angetaa hilo mana anafahamu nguvu ya SRK kwenye mauzo. napia kuhusu hakuridhika script pia siliamini vizuri mana filamu kama pathan yenye story ya kawaida tu ameweza kucheza ataachaje story inayotengenezwa na mtu genius kama Akthtar, mini nahisi ni kuwa SRK aliona aachane nayo tu mana Don Multiplex film, Nayeye kwa sasa ameamua ku forcouse na filamu zinazoweza ku work kwenye both multiplex na Single screens.
Labda mkuu, ngoja tusubiri kazi za Akshay Kumar. Ana houseful 4, na nyingine Kama 2.
Fernandez kweli kapotea, hata bebo(Kareena )nae Chali, huenda houseful 4 ita mrudisha.Kick 2 wamekabidhi director kutoka South yule Jamaa aliyetengeneza Ghajni ya Aamir Khan, Jamaa yupo vizuri, hata filamu yakr ya Akira ya Sonashi ilikua ipo poa sana. I just hope wamrejeshe Fernandez nitafurahi sana. huyu binti mambo yamemvurugikia sana.
Welcome huwa ni nzuri, naona Salman atafute Mwandishi wa story nzuri.mimi naisubiri Welcome 3, kazi zake nyengine ikiwemo hii inayokuja karibuni hazinivutii kabisa.
Fernandez kweli kapotea, hata bebo(Kareena )nae Chali, huenda houseful 4 ita mrudisha.
Mimi mpk namaindi Deepika kuwepo kila movie Kali aisee, kwani kina Katrina Kaif, au hata wale mabinti wa kwenye student of the year , mbona ni wazuri tu
Fernandez kweli kapotea, hata bebo(Kareena )nae Chali, huenda houseful 4 ita mrudisha.
Mimi mpk namaindi Deepika kuwepo kila movie Kali aisee, kwani kina Katrina Kaif, au hata wale mabinti wa kwenye student of the year , mbona ni wazuri tu
Yaani upepo ume mpiria tu, guess kina srk, amir na Salman ndo wali fanya akawa juu.Deepika ni very overrated
Kuna kibinti kili igiza na emran hashmi, aisee ni kazuri Sana.Deepika ni very overrated
Ghajini aisee...umenikumbusha mbali na muvi tamu sanaKick 2 wamekabidhi director kutoka South yule Jamaa aliyetengeneza Ghajni ya Aamir Khan, Jamaa yupo vizuri, hata filamu yakr ya Akira ya Sonakshi ilikua ipo poa sana. I just hope wamrejeshe Fernandez nitafurahi sana. huyu binti mambo yamemvurugikia sana.