Shairi: Mko wapi mpendao?

Shairi: Mko wapi mpendao?

Dr leader

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2016
Posts
893
Reaction score
1,021
MKO WAPI MPENDAO ?

1. Hayapo tena mahaba
Ja alivyosema Kiba
kila mahali msiba
Mko wapi mpendao ?

2. Wasasa ni vibweka
Amani ni heka heka
Si mbwa ila wabweka
Mko wapi mpendao ?

3. Kupendwa ni lengo lao
Kupenda si hoja yao
Starehe maisha kwao
Mko wapi mpendao ?

4. Tokezeni mpendao
Hadi kwenye Mtandao
Tuwe na bora uzao
Mko wapi mpendao ?

Abuuabdillah ✍️
0744883353
 
Ujumbe mzuri. Vipi niuchukue ujumbe mi nishushe la kwangu beti 12 na kila msitari uwe na mizani 16 na kina kiwe kimoja mpaka mwisho
 
huu ujumbe akiupata mdau mmoja alilalamika anaumaliza mwaka vibaya yaani kuanzia januari anakuwa single anaanza upya
 
Back
Top Bottom