golden pride
JF-Expert Member
- Oct 24, 2014
- 847
- 435
safi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nnangale,pamoja na kuwa hukuandika makala hii unao uwezo wa kuandika kitabu kueleza harakati za uhuru kwa kuwapa nafasi sitahiki hawa mashujaa wetu bila kuwa tweza kama nilivyofundishwa kuwa wapinzani wa nyerere nia yao ilikuwa kuendeleza utawala wa mkoloni. uwe na siku njema mwl.
Naweza pata nakala ni mkoaaniNnangale,
Kipo kitabu nimeandika kuhusu TANU na historia ya uhuru wa Tanganyika:
![]()
Tansoma,Naweza pata nakala ni mkoaani
Jambo linalonishangaza ni kuwa namna ya uandishi wa Mohammed Said na Mwandishi wa Makala hii unashabihiana kwa kiasi kikubwa!Tansoma,
Sina hakika kwani hiyo ni kazi ya wauza vitabu mimi ni mwandishi.
Ninachojua ni kuwa Dar es Salaam viko vingi maduka ya vitabu.
SE ulikuwa unatembea kwenye akili yangu, nilitaka kuuliza swali hilo.Mtemvu Huyu ndiyo baba wa aliye kuwa mbunge wa Temeke?
Chachu,Mzee wangu Mohamed Said nasubiri TAAZIA kutoka kwako Juu ya kifo cha Mzee wetu Kingunge.