Shajara ya mwana Mzizima Zuberi Mwinshehe Manga Mtemvu na Alhaji Abdallah Tambaza

Shajara ya mwana Mzizima Zuberi Mwinshehe Manga Mtemvu na Alhaji Abdallah Tambaza

pamoja na kuwa hukuandika makala hii unao uwezo wa kuandika kitabu kueleza harakati za uhuru kwa kuwapa nafasi sitahiki hawa mashujaa wetu bila kuwa tweza kama nilivyofundishwa kuwa wapinzani wa nyerere nia yao ilikuwa kuendeleza utawala wa mkoloni. uwe na siku njema mwl.
Nnangale,
Kipo kitabu nimeandika kuhusu TANU na historia ya uhuru wa Tanganyika:

Mn8DnQ7Yi0T6ytashaD7jSEawXlBWBjBlmjQNVAe9Z-FbBNl6P4_WQc_uoGhoyv-JJ6EB81-UbLtNBDmz5djHyfrAIzd8hsARrtW7S8PGfJ1Ph6rsJIxmv8_DQ7FjLHoUoN61Zbg5qEsnOWHp1MHvEc7W3XawVwLGQ8zAXwwOybuufl9PzcGb2nKtBpjXhfbJtHJvLT0fKDvKDXwNxOFTQ6SPYsiARvwWVxokzsG2g9cpImYWJgmvOi6-vjbEBU6Amy8TNQFTOT57GPZNCTWKOAJyKDYcpnK_2iJ9NZ7IDE5Ni_mN9Cj6y0dOQjOUKyr_c_yAauhv-XC3YWRGHDnVEAooS_9n48FAgWe0H4koOnKtq4b7v1w1CINXskM8kA8Y4AIPcWy6zc4IKO5D3wF4xZFaRtGNOfJA3pI5PLeugapA7zug8TKn2LTGWJk3hZAf2cTi4LB4BMVjW0Bcnvn-7ksZJcyLmtQkbT9ff6PR7KeVw6k-x7IAEsRAdy2udp1bsWE_ugaQtn_RK3Xe6xVJzTnrh0xVH_mqB850BIdaVFJ8ajYmscemnlmbygkGEy5GXKPG5OKT1LftjHWLii_JuRx7gxOUHhN-1m6TnOw=w246-h181-no
 
Tansoma,
Sina hakika kwani hiyo ni kazi ya wauza vitabu mimi ni mwandishi.
Ninachojua ni kuwa Dar es Salaam viko vingi maduka ya vitabu.
Jambo linalonishangaza ni kuwa namna ya uandishi wa Mohammed Said na Mwandishi wa Makala hii unashabihiana kwa kiasi kikubwa!
 
Mtemvu Huyu ndiyo baba wa aliye kuwa mbunge wa Temeke?
SE ulikuwa unatembea kwenye akili yangu, nilitaka kuuliza swali hilo.

lakini je, mtemvu huyu wa pwani ana uhusiano wa kinasaba na mmiliki wa mabasi ya abiria yaitwayo mtemvu ambayo yanaenda dar to arusha and vice versa?.

NB:
ooh sorry nimefananisha na mabasi ya mtei express.
 
Mzee wangu Mohamed Said nasubiri TAAZIA kutoka kwako Juu ya kifo cha Mzee wetu Kingunge.
Chachu,
Bahati mbaya sikuwa namfahamu kwa karibu Mzee Ngombale.

Ninachoweza kusema ni kuwa nilipata kumsikia katika kipindi
cha radio akisema kuwa yeye aliingizwa chama cha TANU na
Ally Sykes.

Kingine nikijuacho ni kuwa yeye, Muharam Makatta na Paul
Rupia
walipata ''scholarship,'' za TANU kwenda kusoma Liberia.
 
Back
Top Bottom