BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 377
- 435
SHAKA ASEMA CCM INARIDHISHWA NA UIMARISHWAJI WA SEKTA YA HABARI NCHINI
Hayo yameelezwa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka katika Uzinduzi wa Jengo la Studio za kisasa za Televisheni ya TBC2 pamoja na kipindi kipya cha Jambo Tanzania, Mikocheni Jijini Dar es Salaam Leo Jumanne 19 Aprili, 2022.
#CCMImara
#KaziIendelee
Hayo yameelezwa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka katika Uzinduzi wa Jengo la Studio za kisasa za Televisheni ya TBC2 pamoja na kipindi kipya cha Jambo Tanzania, Mikocheni Jijini Dar es Salaam Leo Jumanne 19 Aprili, 2022.
#CCMImara
#KaziIendelee