Shaka Hamdu Shaka aisifu mahakama ya Tanzania kesi ya Freeman Mbowe

Shaka Hamdu Shaka aisifu mahakama ya Tanzania kesi ya Freeman Mbowe

Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%

Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,

Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
 
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,

#KAZIIENDELEE NA MAMA
 
Hakika kama mambo yataendelea kuwa hivi Rais Samia Suluhu Hassan atashinda Uchaguzi Huru na Haki wa 2025 kwa zaidi ya 76%
 
Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais wa kweli basi ni sasa, Mungu tujalie heri kuelekea 2025|30
 
Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais wa kweli basi ni sasa, Mungu tujalie heri kuelekea 2025|30
 
Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM-Taifa Mhe Shaka Hamdu Shaka aisifu Mahakama kesi ya Freeman Mbowe, asisitiza Serikali ya Rais Samia ni ya kidemokrasia na inajali Uhuru wa Mahakama

"Hakuna kama Samia"


"Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na simu pamoja na kufuatilia kesi ya kiongozi wao leo.

Niwaambie huo ndio Uhuru wa Mahakama na ndio Utawala wa Sheria kama msingi wa Demokrasia ya kweli chini ya utawala wa CCM na serikali makini inayoongozwa na Rais hodari, jasiri na mwenye uthubutu Mhe Samia Suluhu Hassan.

Katika nchi za kidekta haya tunayoyaona leo Mahakama za Tanzania huko hayapo " alisisitiza Shaka

View attachment 1941361
Shaka Hamdu Shaka

Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi
Ziara Katibu Mkuu CCM

16 Septemba, 2021 Lindi.
Kama mambo ndio haya basi Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais bora na wa kweli pamoja na Wasaidizi akina Shaka nadhani ni sasa,Tufanye kazi kwa bidii sana,

Hakika huyu Mama ni Mpango wa Mungu,

#WATANZANIA TUFANYE KAZI KWA BIDII
 
" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
 
Hivi nani anawaloga nyie ccm hadi neno kufikiri au kutumia akili inakuwa msamiati kwenu?
Haya yote yalitendeka wakati wa chama gani?
Utawala si ndio huu huu ukiondoa mwendazake?
Jeshi, mahakama, na vyombo vyote viongozi si walewale?
Sasa mnakwepaje hapa? Hebu tumieni akili mnakera sana!
 
Hivi nani anawaloga nyie ccm hadi neno kufikiri au kutumia akili inakuwa msamiati kwenu?
Haya yote yalitendeka wakati wa chama gani?
Utawala si ndio huu huu ukiondoa mwendazake?
Jeshi, mahakama, na vyombo vyote viongozi si walewale?
Sasa mnakwepaje hapa? Hebu tumieni akili mnakera sana!
Sasa unalalamika nini mkuu?😀😀😀
 
Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM-Taifa Mhe Shaka Hamdu Shaka aisifu Mahakama kesi ya Freeman Mbowe, asisitiza Serikali ya Rais Samia ni ya kidemokrasia na inajali Uhuru wa Mahakama

"Hakuna kama Samia"


"Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na simu pamoja na kufuatilia kesi ya kiongozi wao leo.

Niwaambie huo ndio Uhuru wa Mahakama na ndio Utawala wa Sheria kama msingi wa Demokrasia ya kweli chini ya utawala wa CCM na serikali makini inayoongozwa na Rais hodari, jasiri na mwenye uthubutu Mhe Samia Suluhu Hassan.

Katika nchi za kidekta haya tunayoyaona leo Mahakama za Tanzania huko hayapo " alisisitiza Shaka

View attachment 1941361
Shaka Hamdu Shaka

Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi
Ziara Katibu Mkuu CCM

16 Septemba, 2021 Lindi.
Shaka Hamdu Shaka ni Mzalendo sana,
 
Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM-Taifa Mhe Shaka Hamdu Shaka aisifu Mahakama kesi ya Freeman Mbowe, asisitiza Serikali ya Rais Samia ni ya kidemokrasia na inajali Uhuru wa Mahakama

"Hakuna kama Samia"


"Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na simu pamoja na kufuatilia kesi ya kiongozi wao leo.

Niwaambie huo ndio Uhuru wa Mahakama na ndio Utawala wa Sheria kama msingi wa Demokrasia ya kweli chini ya utawala wa CCM na serikali makini inayoongozwa na Rais hodari, jasiri na mwenye uthubutu Mhe Samia Suluhu Hassan.

Katika nchi za kidekta haya tunayoyaona leo Mahakama za Tanzania huko hayapo " alisisitiza Shaka

View attachment 1941361
Shaka Hamdu Shaka

Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi
Ziara Katibu Mkuu CCM

16 Septemba, 2021 Lindi.
Shaka jembe sana
 
Back
Top Bottom