Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 2,128
- 1,896
Nchi ngumu kabisa hiiππ
Ukitaka kujua 'si hasa' ndio hiyo...bumunda limeloa maji
Kama mambo ndio haya basi Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais bora na wa kweli pamoja na Wasaidizi akina Shaka nadhani ni sasa,Tufanye kazi kwa bidii sana,Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM-Taifa Mhe Shaka Hamdu Shaka aisifu Mahakama kesi ya Freeman Mbowe, asisitiza Serikali ya Rais Samia ni ya kidemokrasia na inajali Uhuru wa Mahakama
"Hakuna kama Samia"
"Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na simu pamoja na kufuatilia kesi ya kiongozi wao leo.
Niwaambie huo ndio Uhuru wa Mahakama na ndio Utawala wa Sheria kama msingi wa Demokrasia ya kweli chini ya utawala wa CCM na serikali makini inayoongozwa na Rais hodari, jasiri na mwenye uthubutu Mhe Samia Suluhu Hassan.
Katika nchi za kidekta haya tunayoyaona leo Mahakama za Tanzania huko hayapo " alisisitiza Shaka
View attachment 1941361
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi
Ziara Katibu Mkuu CCM
16 Septemba, 2021 Lindi.
Msemaji wa CCMHuyu Shaka Kwenye Duru Za Siasa Yeye ni nani?
Huyu Shaka Kwenye Duru Za Siasa Yeye ni nani?
πππSasa mbona mmeingia kihoro Hadi hamtaki tena wanaokuja kwenye kesi hiyo, waingie na simu zao?
Hiyo ndiyo unaiita demokrasia inayodumishwa na CCM?
Matusi kwanini?Huyu mbona anakuwa mjinga na mpumbavu kiasi hiki,yaana chama kina msemaji na mwenezi poyoyo kiasi hiki.uhuru wa mahakama mi kuendesha kesi ya kihuni Kama hii.
Sasa unalalamika nini mkuu?πππHivi nani anawaloga nyie ccm hadi neno kufikiri au kutumia akili inakuwa msamiati kwenu?
Haya yote yalitendeka wakati wa chama gani?
Utawala si ndio huu huu ukiondoa mwendazake?
Jeshi, mahakama, na vyombo vyote viongozi si walewale?
Sasa mnakwepaje hapa? Hebu tumieni akili mnakera sana!
Shaka Hamdu Shaka ni Mzalendo sana,Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM-Taifa Mhe Shaka Hamdu Shaka aisifu Mahakama kesi ya Freeman Mbowe, asisitiza Serikali ya Rais Samia ni ya kidemokrasia na inajali Uhuru wa Mahakama
"Hakuna kama Samia"
"Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na simu pamoja na kufuatilia kesi ya kiongozi wao leo.
Niwaambie huo ndio Uhuru wa Mahakama na ndio Utawala wa Sheria kama msingi wa Demokrasia ya kweli chini ya utawala wa CCM na serikali makini inayoongozwa na Rais hodari, jasiri na mwenye uthubutu Mhe Samia Suluhu Hassan.
Katika nchi za kidekta haya tunayoyaona leo Mahakama za Tanzania huko hayapo " alisisitiza Shaka
View attachment 1941361
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi
Ziara Katibu Mkuu CCM
16 Septemba, 2021 Lindi.
Mama yuko vizuri SanaTanzania kama kuna wakati tumepata Rais wa kweli basi ni sasa, Mungu tujalie heri kuelekea 2025|30
Sana kabisa,Mama yuko vizuri Sana
Shaka jembe sanaKatibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM-Taifa Mhe Shaka Hamdu Shaka aisifu Mahakama kesi ya Freeman Mbowe, asisitiza Serikali ya Rais Samia ni ya kidemokrasia na inajali Uhuru wa Mahakama
"Hakuna kama Samia"
"Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na simu pamoja na kufuatilia kesi ya kiongozi wao leo.
Niwaambie huo ndio Uhuru wa Mahakama na ndio Utawala wa Sheria kama msingi wa Demokrasia ya kweli chini ya utawala wa CCM na serikali makini inayoongozwa na Rais hodari, jasiri na mwenye uthubutu Mhe Samia Suluhu Hassan.
Katika nchi za kidekta haya tunayoyaona leo Mahakama za Tanzania huko hayapo " alisisitiza Shaka
View attachment 1941361
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi
Ziara Katibu Mkuu CCM
16 Septemba, 2021 Lindi.