Huyu nae akili hana,ameelewa ukweli chanzo kilichofanya watu kuruhusiwa au kaamua kufomoka tu?"Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na simu pamoja na kufuatilia kesi ya kiongozi wao leo.
Niwaambie huo ndio Uhuru wa Mahakama na ndio Utawala wa Sheria kama msingi wa Demokrasia ya kweli chini ya utawala wa CCM na serikali makini inayoongozwa na Rais hodari...
Kwahiyo mnakiri sasa uongozi was magufuli hii mihimili haikuwa huyu siyo?Ndani ya Uongozi wa Rais Samia,
Mahakama huru...
Hii nchi ngumu sana ,😛😛😛😛Kwani hajui kuwa walioingilia uhuru wa mahakama kabla ya kudhibitiwa kisheria na upande wa utetezi ni haohao polisi wanaotekereza maagizo kutoka juu?hata hili la Mbowe kubambikiziwa kesi ya ugaidi na serekali anayoisifia nalo anataka kusema kuwa halijui?.
Acha kutukana viongozi pimbi wewe,Huyu mbona anakuwa mjinga na mpumbavu kiasi hiki,yaana chama kina msemaji na mwenezi poyoyo kiasi hiki.uhuru wa mahakama mi kuendesha kesi ya kihuni Kama hii.
Huyu mpuuzi ingekua bora asipocomment kila kitu. Msemaji/mwenezi kwenye chama sio kusemasema ovyo. Utafikiri yeye ndio katibu mkuu."Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na simu pamoja na kufuatilia kesi ya kiongozi wao leo...
Huyu shaka ni aheri mzee wa vieite tu arudishwe😅Utawasikia, CCM ina WATU vichwa sana, ukiuliza ni wapi, utaambiwa, SHAKA HAMDU SHAKA
Kwanini msianze na katiba ya Chadema kwanza? 😛😛Uwepo wa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ndo mwisho wa ccm hilo mnalijua nadhani katiba mpya haiepukiki
Huyo Shaka lazima kichwani ana hitilafu.Kwani hajui kuwa walioingilia uhuru wa mahakama kabla ya kudhibitiwa kisheria na upande wa utetezi ni haohao polisi wanaotekereza maagizo kutoka juu?hata hili la Mbowe kubambikiziwa kesi ya ugaidi na serekali anayoisifia nalo anataka kusema kuwa halijui?.
Huyu, kuanzia uelewa, akili, na hata uadilifu wake unaonekana ni wa shaka kubwa.
Huyu shaka ni aheri mzee wa vieite tu arudishwe😅
Mzee unafahamu maana ya Uenezi?Huyu mpuuzi ingekua bora asipocomment kila kitu. Msemaji/mwenezi kwenye chama sio kusemasema ovyo. Utafikiri yeye ndio katibu mkuu. Yeye anatakiwa kutupa taarifa za vikao vya chama na taarifa kama anavyoelekezwa. Sasa utamsikia kila siku akipayuka mambo ya policy utafikiri ndio katibu mkuu au mwenyekiti wa ccm.
Kwahiyo mnakiri sasa uongozi was magufuli hii mihimili haikuwa huyu siyo?
Ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu.
SUKUMA GANG
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Shaka atafute kiki kwa nani?Ukisikia kupatwa kwa shaka ndo huku! Maskin shaka kaona hako ni ka kiki!
Anataka tuamini hao askari waliozuia watu walitoka Yugoslavia au HindustanKwani Askari waliozuia watu wasiingie kwenye ukumbi wa mahakama walikuwa chini ya utawala wa Chama gani, na chini ya Rais gani?...
Hata polisi kuzuia watu wasiingie ni exercise ya Uhuru,anataka tuamini hao askari waliozuia watu walitoka Yugoslavia au Hindustan