Shaka Hamdu Shaka aisifu mahakama ya Tanzania kesi ya Freeman Mbowe

Shaka Hamdu Shaka aisifu mahakama ya Tanzania kesi ya Freeman Mbowe

Huyu tangu lini amekuwa ni msemaji wa Kudemka?

"Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na simu pamoja na kufuatilia kesi ya kiongozi wao leo...
 
"Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na simu pamoja na kufuatilia kesi ya kiongozi wao leo.

Niwaambie huo ndio Uhuru wa Mahakama na ndio Utawala wa Sheria kama msingi wa Demokrasia ya kweli chini ya utawala wa CCM na serikali makini inayoongozwa na Rais hodari, jasiri na mwenye uthubutu Mhe Samia Suluhu Hassan...

Kiongozi mchapakazi ni Shaka,

Kiongozi mwadilifu ni Shaka,

Kiongozi mpenda demokrasia ni Shaka,

Kiongozi mpenda amani ni Shaka,

Kiongozi msikivu ni Shaka,

Kiongozi mpenda chama ni Shaka,

#SHAKAKAMASHAKA NI JEMBE
 
Haha hapa polepole kidogo hakuwa hivi

Nadhani wabadili
Unataka na Shaka aanze kupoteza watu ndio uone anafanya kazi?

Mnataka aseme chama kina V8 ndio muone anafanya kazi?

Acheni kumfananisha Shaka na vitu vya ajabu ajabu,
 
Chadema tangu lini mkawasaidia CCM kutafuta viongozi bora ?

Shaka kama Shaka tunamwandaa kwa nafasi ya juu kabisa miaka ya mbeleni,

Niswala la muda tu,

SHAKA PIGA KAZI HAWA MERCENARIES WASIKUTISHE,
 
Wanacheka jino pembeni,moyoni wanasononeka
Nalog off
HAPA TATIZO NI UKATIBU WA UENEZI TU,

HAYA MAMBO KUPOKEZANA TU,

KUTWA KUMSHAMBULIA SHAKA UTADHANI ALIJITEUA,

MNYONGE MNYONGENI SHAKA HUWEZI KUMFANANISHA NA VITU VYA HOVYOHOVYO,
 
HAPA TATIZO NI UKATIBU WA UENEZI TU,

HAYA MAMBO KUPOKEZANA TU,

KUTWA KUMSHAMBULIA SHAKA UTADHANI ALIJITEUA,

MNYONGE MNYONGENI SHAKA HUWEZI KUMFANANISHA NA VITU VYA HOVYOHOVYO,


Waendelee na shule ya Uongozi,
Au mnataka na Shaka awe Mwl?

CCM TUNAIMANI KUBWA SANA NA SHAKA
 
HAPA TATIZO NI UKATIBU WA UENEZI TU,

HAYA MAMBO KUPOKEZANA TU,

KUTWA KUMSHAMBULIA SHAKA UTADHANI ALIJITEUA,

MNYONGE MNYONGENI SHAKA HUWEZI KUMFANANISHA NA VITU VYA HOVYOHOVYO,
Mimi nawashambulia wateuaji na wateuliwa. Wanajifanya kufurahia hayo yatendekayo mahakamani kumbe wanaumia moyoni,maana hawakupendezwa na watazamaji kuwepo hapo kwenye hiyo kesi.
 
#SHAKAKAMASHAKA

IMG-20210916-WA0054.jpg
 
Back
Top Bottom