LOGIC MENTALITY
Senior Member
- Mar 19, 2021
- 124
- 86
Haha hapa polepole kidogo hakuwa hiviSifa kuu ya kuwa mwana ccm hasa kiongozi ni kukosa haya na kujitoa fahamu. Pole shaka. Yana mwisho. Hata jiwe na rais wa chuma kweri kweri yalipita. Hamjifunzi tu?
"Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na simu pamoja na kufuatilia kesi ya kiongozi wao leo...
"Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na simu pamoja na kufuatilia kesi ya kiongozi wao leo.
Niwaambie huo ndio Uhuru wa Mahakama na ndio Utawala wa Sheria kama msingi wa Demokrasia ya kweli chini ya utawala wa CCM na serikali makini inayoongozwa na Rais hodari, jasiri na mwenye uthubutu Mhe Samia Suluhu Hassan...
Unataka na Shaka aanze kupoteza watu ndio uone anafanya kazi?Haha hapa polepole kidogo hakuwa hivi
Nadhani wabadili
HAPA TATIZO NI UKATIBU WA UENEZI TU,Wanacheka jino pembeni,moyoni wanasononeka
Nalog off
Kwa maana hiyo uhuru umebaki kwa wenye nao!!!Hata polisi kuzuia watu wasiingie ni exercise ya Uhuru,
Uhuru unamaana pana,
Wamezuia umewashinda That the meaning of democracy
HAPA TATIZO NI UKATIBU WA UENEZI TU,
HAYA MAMBO KUPOKEZANA TU,
KUTWA KUMSHAMBULIA SHAKA UTADHANI ALIJITEUA,
MNYONGE MNYONGENI SHAKA HUWEZI KUMFANANISHA NA VITU VYA HOVYOHOVYO,
Kwahiyo mnakiri sasa uongozi was magufuli hii mihimili haikuwa huyu siyo?
Ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu.
SUKUMA GANG
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
SHAKA PIGA KAZI HAWA WACHAWI TUNAWAMUDU"Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na simu pamoja na kufuatilia kesi ya kiongozi wao leo...
Unaakili sana wewe 👏🏾👏🏾Huyu Shaka huyu Shaka, Polepole ile shule yake ya uongozi ajifunze kwanza kwa huyu Jamaa hana maringo kabisa
Sisi CCM tunamshukuru Samia kwaajili ya Shaka
Mimi nawashambulia wateuaji na wateuliwa. Wanajifanya kufurahia hayo yatendekayo mahakamani kumbe wanaumia moyoni,maana hawakupendezwa na watazamaji kuwepo hapo kwenye hiyo kesi.HAPA TATIZO NI UKATIBU WA UENEZI TU,
HAYA MAMBO KUPOKEZANA TU,
KUTWA KUMSHAMBULIA SHAKA UTADHANI ALIJITEUA,
MNYONGE MNYONGENI SHAKA HUWEZI KUMFANANISHA NA VITU VYA HOVYOHOVYO,