Shaka Hamdu Shaka aisifu mahakama ya Tanzania kesi ya Freeman Mbowe

"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
 
 
Kaziiendelee kaka Shaka,
 
Najaribu kuwaza kwa Sauti kama sio Rais Samia Suluhu leo Tanzania tungekuwa wapi?
 
CHADEMA HAWAJUI DICTATORSHIP COUNTRIES ZILIVYO NDIO MAANA,
 
SHAKA kumbuka HUJAFA HUJAUMBIKA hata SABAYA Hakuhamini kuwa LEO ATAKUWA JELA
 
Mh. Polepole hawa huku njoo fastaa!!
 
Ndani ya CCM kama hujui unafiki utaishi maisha magumu mno, na inawezekana siasa ikakushinda.
 
Watu wasio na exposure unawajua tu..... Huyu Shaka ni mmoja wao.
 
Kwa speed hii ya Rais Samia, Tanzania huenda ikaibua mabilionea wapya 100 miaka miwili ijayo,Tufanye kazi kwa bidii zaidi
 
"Team JF "

Kama maambukizi ya COVID -19 yanaongezeka siku hadi siku, nilazima kuchanja kwa hiari ili kujinga,

#Kuwa Supa kachanje,
 
Team JF,


MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.

#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
 
Happy Boxing Day kwa hisani ya Mhe Samia Suluhu Hassan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…