CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
CCM CHAMAHuyu Mwamba anajitahidi sana,Tunawapingeza wote,
Nape,
Polepole
Shaka
Shaka fanya kazi,Hakika Chama Cha Mapinduzi kina hazina ya viiongozi mahiri na hodari sana ndani na nje ya Tanzania,
Toka enzi za Mhe Nape Nauye, Humphrey Polepole na Sasa Shaka Hamdu Shaka hakika wenezi hawa
wanakitendea|walikitendea haki Chama cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla wake,
HEBU SIKILIZA NA ANGALIA JINSI KATIBU WA NEC ITIKADI & UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA ALIVYOFAFANUA KUHUSU UTAYARI WA SERIKALI YA CCM INAYOONGOZWA NA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KUONDOA VIKWAZO VINAVYOKWAMISHA UFANISI WA SEKTA BINAFSI NCHINI.
>>>Msikilize hata mwisho <<<
View attachment 2030450
Unamaana gani?Huoni aibu?!
Maana umebaki peke yako unayeteseka usiku na mchana kuupigia debe Utawala huo uliofeli!
Una habari petrol lita ni 2752 huku Ngara ewe mwana hizaya?!
Huoni aibu?!
Maana umebaki peke yako unayeteseka usiku na mchana kuupigia debe Utawala huo uliofeli!
Una habari petrol lita ni 2752 huku Ngara ewe mwana hizaya?!
Umejibu vizuri Sana kiongoziChief,hili la upandaji mafuta ni la Dunia mzima ukiondoa nchi zinazozalisha. Hata Marekani imeachia pipa milioni 50 ili kupunguza makali ya bei. Nchi za Ulaya pia zimefuata mkondo huo. Jenga mazoea ya kutafuta habari na taarifa mbalimbali Ulimwenguni. Sio kila kitu kulalamika.
Tukirejea kwenye mada, CCM imepata kijana mwenye busara, ingawa amewekwa na kina Pole pole,mie naamini uwezo na uelewa wake wa Chama ni mkubwa tofauti na Polepole ambaye hakuwahi kuwa hata Mwenyekiti wa tawi.
Shaka ni hazina kwa Taifa, Niswala la muda tu,Hakika Chama Cha Mapinduzi kina hazina ya viiongozi mahiri na hodari sana ndani na nje ya Tanzania,
Toka enzi za Mhe Nape Nauye, Humphrey Polepole na Sasa Shaka Hamdu Shaka hakika wenezi hawa
wanakitendea|walikitendea haki Chama cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla wake,
HEBU SIKILIZA NA ANGALIA JINSI KATIBU WA NEC ITIKADI & UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA ALIVYOFAFANUA KUHUSU UTAYARI WA SERIKALI YA CCM INAYOONGOZWA NA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KUONDOA VIKWAZO VINAVYOKWAMISHA UFANISI WA SEKTA BINAFSI NCHINI.
>>>Msikilize hata mwisho <<<
View attachment 2030450
Sekta binafsi ndio Uti wa mgongo wa TaifaShaka fanya kazi,
Usisikilize watu,
Chapa kazi
#KAZIIENDELEE
CCM tunajivunia huyu mwamba, Sekta binafsi lazima ipepeweHakika Chama Cha Mapinduzi kina hazina ya viiongozi mahiri na hodari sana ndani na nje ya Tanzania,
Toka enzi za Mhe Nape Nauye, Humphrey Polepole na Sasa Shaka Hamdu Shaka hakika wenezi hawa
wanakitendea|walikitendea haki Chama cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla wake,
HEBU SIKILIZA NA ANGALIA JINSI KATIBU WA NEC ITIKADI & UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA ALIVYOFAFANUA KUHUSU UTAYARI WA SERIKALI YA CCM INAYOONGOZWA NA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KUONDOA VIKWAZO VINAVYOKWAMISHA UFANISI WA SEKTA BINAFSI NCHINI.
>>>Msikilize hata mwisho <<<
View attachment 2030450
CCM CHAMAHakika Chama Cha Mapinduzi kina hazina ya viiongozi mahiri na hodari sana ndani na nje ya Tanzania,
Toka enzi za Mhe Nape Nauye, Humphrey Polepole na Sasa Shaka Hamdu Shaka hakika wenezi hawa
wanakitendea|walikitendea haki Chama cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla wake,
HEBU SIKILIZA NA ANGALIA JINSI KATIBU WA NEC ITIKADI & UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA ALIVYOFAFANUA KUHUSU UTAYARI WA SERIKALI YA CCM INAYOONGOZWA NA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KUONDOA VIKWAZO VINAVYOKWAMISHA UFANISI WA SEKTA BINAFSI NCHINI.
>>>Msikilize hata mwisho <<<
View attachment 2030450
Mungu ni mwema,Shaka fanya kazi,
Usisikilize watu,
Chapa kazi
#KAZIIENDELEE
Tumia yako vizuriKutumia akili ni kazi ngumu sana. Ndio maana watu wengi wameamua kuachana nayo ili wafanye mambo mengine.
Hakika Chama Cha Mapinduzi kina hazina ya viiongozi mahiri na hodari sana ndani na nje ya Tanzania,
Toka enzi za Mhe Nape Nauye, Humphrey Polepole na Sasa Shaka Hamdu Shaka hakika wenezi hawa
wanakitendea|walikitendea haki Chama cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla wake,
HEBU SIKILIZA NA ANGALIA JINSI KATIBU WA NEC ITIKADI & UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA ALIVYOFAFANUA KUHUSU UTAYARI WA SERIKALI YA CCM INAYOONGOZWA NA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KUONDOA VIKWAZO VINAVYOKWAMISHA UFANISI WA SEKTA BINAFSI NCHINI.
>>>Msikilize hata mwisho <<<
View attachment 2030450
Nakuunga mkono 100%Huyu Mwamba anajitahidi sana,Tunawapingeza wote,
Nape,
Polepole
Shaka