Shaka Hamdu Shaka atoa mwelekeo mpya wa Chama Cha Mapinduzi sekta binfsi nchini

Shaka Hamdu Shaka atoa mwelekeo mpya wa Chama Cha Mapinduzi sekta binfsi nchini

Dhambi ya kuwa upande na magu imeandikwa kwa wino wa chuma kama ya yuda ,tutazuia njia yake maisha
 
Hakika Chama Cha Mapinduzi kina hazina ya viiongozi mahiri na hodari sana ndani na nje ya Tanzania,

Toka enzi za Mhe Nape Nauye, Humphrey Polepole na Sasa Shaka Hamdu Shaka hakika wenezi hawa
wanakitendea|walikitendea haki Chama cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla wake,

HEBU SIKILIZA NA ANGALIA JINSI KATIBU WA NEC ITIKADI & UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA ALIVYOFAFANUA KUHUSU UTAYARI WA SERIKALI YA CCM INAYOONGOZWA NA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KUONDOA VIKWAZO VINAVYOKWAMISHA UFANISI WA SEKTA BINAFSI NCHINI.


>>>Msikilize hata mwisho <<<

View attachment 2030450
Mama aluta continue
 
Hakika Chama Cha Mapinduzi kina hazina ya viiongozi mahiri na hodari sana ndani na nje ya Tanzania,

Toka enzi za Mhe Nape Nauye, Humphrey Polepole na Sasa Shaka Hamdu Shaka hakika wenezi hawa
wanakitendea|walikitendea haki Chama cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla wake,

HEBU SIKILIZA NA ANGALIA JINSI KATIBU WA NEC ITIKADI & UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA ALIVYOFAFANUA KUHUSU UTAYARI WA SERIKALI YA CCM INAYOONGOZWA NA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KUONDOA VIKWAZO VINAVYOKWAMISHA UFANISI WA SEKTA BINAFSI NCHINI.


>>>Msikilize hata mwisho <<<

View attachment 2030450
 
Usidanganye watu. Bei kubwa ya dizeli Tanzania, kwa kiasi kikubwa inasababishwa na kodi zinatozwa na serikali na taasisi zake.

Karibia 50% ya pesa unayolipa kwa kila lita ya mafuta (dizeli na petroli) inaenda serikalini na kwa taasisi zake, kama kodi. Leo hii serikali ingeondoa kodi zote kwenye mafuta, bei ingekuwa nusu ya hiyo unayoiona. Kama serikali ingrlekuwa na watu wenye weledi, angalao kodi kwenye mafuta ingeshushwa mpaka 25? Unafuu kwenye mafuta ungeleta faida kubwa kuliko kodi ambazo serikali inazikusanya moja kwa moja kutoka kwenye mauzo ya mafuta. Kwa kuwa serikalini wamekosekana watu wenye weledi, tunaishia kuweka kodi nyingi na kubwa kwenye nishati bila kutambua kwa kufanya hivyo tunaua maendeleo ya sekta zote.
Isiwe tu rahisi kwako kusema kodi kwenye mafuta itolewe au ipunguzwe, pendekeza na mchanganuo wa namna ya kufidia hilo gap. Uchumi haujawahi kuwa rahisi hivyo. Kama Tanzania bei iko juu sababu ya kodi, nini sababu ya bei kuwa juu Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi au hata huko Marekani kiasi cha Rais wa nchi kuacha mafuta yao ya akiba?
 
Chief,hili la upandaji mafuta ni la Dunia mzima ukiondoa nchi zinazozalisha. Hata Marekani imeachia pipa milioni 50 ili kupunguza makali ya bei. Nchi za Ulaya pia zimefuata mkondo huo. Jenga mazoea ya kutafuta habari na taarifa mbalimbali Ulimwenguni. Sio kila kitu kulalamika.

Tukirejea kwenye mada, CCM imepata kijana mwenye busara, ingawa amewekwa na kina Pole pole,mie naamini uwezo na uelewa wake wa Chama ni mkubwa tofauti na Polepole ambaye hakuwahi kuwa hata Mwenyekiti wa tawi.
Mfano wastani ya bei ya Petrol sasa Zambia kwa litre ni Tsh 2,071. Wao wanatoa wapi mafuta?

 
Isiwe tu rahisi kwako kusema kodi kwenye mafuta itolewe au ipunguzwe, pendekeza na mchanganuo wa namna ya kufidia hilo gap. Uchumi haujawahi kuwa rahisi hivyo. Kama Tanzania bei iko juu sababu ya kodi, nini sababu ya bei kuwa juu Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi au hata huko Marekani kiasi cha Rais wa nchi kuacha mafuta yao ya akiba?
Kuna watu wameajiriwa kwa kazi hizo, wana degree hadi 5, hata per diem yao ni 350,000/= per day. Tukitoa mawazo sisi wa darasa la 7 nani atatusikia.
 
Halafu dawa tunanunua kwa pesa zipi kwa mfano?,,
Mafuta yamepanda bei dunia nzima, mpaka US wametoa akiba yao kujaribu kufloat soko, baada ya waarabu kugoma kuongeza uzalishaji
Mfano wastani ya bei ya Petrol sasa Zambia kwa litre ni Tsh 2,071. Wao wanatoa wapi mafuta? Wao hawanunui dawa? Dawa lazima zinunuliwe toka mafuta?

 
Kuna watu wameajiriwa kwa kazi hizo, wana degree hadi 5, hata per diem yao ni 350,000/= per day. Tukitoa mawazo sisi wa darasa la 7 nani atatusikia.
Ndio wao wamefanya wamefikia hapo. Wewe darasa la 7 ndio uwanja wako wa kuondoa unyonge kwenye kutoa mapendekezo bora ya mfumo wa kodi ya mafuta.
 
Hakika Chama Cha Mapinduzi kina hazina ya viiongozi mahiri na hodari sana ndani na nje ya Tanzania,

Toka enzi za Mhe Nape Nauye, Humphrey Polepole na Sasa Shaka Hamdu Shaka hakika wenezi hawa
wanakitendea|walikitendea haki Chama cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla wake,

HEBU SIKILIZA NA ANGALIA JINSI KATIBU WA NEC ITIKADI & UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA ALIVYOFAFANUA KUHUSU UTAYARI WA SERIKALI YA CCM INAYOONGOZWA NA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KUONDOA VIKWAZO VINAVYOKWAMISHA UFANISI WA SEKTA BINAFSI NCHINI.


>>>Msikilize hata mwisho <<<

View attachment 2030450
Nyote ni takataka tu.
 
Hakika Chama Cha Mapinduzi kina hazina ya viiongozi mahiri na hodari sana ndani na nje ya Tanzania,

Toka enzi za Mhe Nape Nauye, Humphrey Polepole na Sasa Shaka Hamdu Shaka hakika wenezi hawa
wanakitendea|walikitendea haki Chama cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla wake,

HEBU SIKILIZA NA ANGALIA JINSI KATIBU WA NEC ITIKADI & UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA ALIVYOFAFANUA KUHUSU UTAYARI WA SERIKALI YA CCM INAYOONGOZWA NA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KUONDOA VIKWAZO VINAVYOKWAMISHA UFANISI WA SEKTA BINAFSI NCHINI.


>>>Msikilize hata mwisho <<<

View attachment 2030450
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
 
Hakika Chama Cha Mapinduzi kina hazina ya viiongozi mahiri na hodari sana ndani na nje ya Tanzania,

Toka enzi za Mhe Nape Nauye, Humphrey Polepole na Sasa Shaka Hamdu Shaka hakika wenezi hawa
wanakitendea|walikitendea haki Chama cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla wake,

HEBU SIKILIZA NA ANGALIA JINSI KATIBU WA NEC ITIKADI & UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA ALIVYOFAFANUA KUHUSU UTAYARI WA SERIKALI YA CCM INAYOONGOZWA NA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KUONDOA VIKWAZO VINAVYOKWAMISHA UFANISI WA SEKTA BINAFSI NCHINI.


>>>Msikilize hata mwisho <<<

View attachment 2030450
Kama kuna Rais wa Ukweli Tanzania tumepata basi ni huyu mama,

KAZI NZURI SHAKA

#MAMA KAZIIENDELEE
 
Hakika Chama Cha Mapinduzi kina hazina ya viiongozi mahiri na hodari sana ndani na nje ya Tanzania,

Toka enzi za Mhe Nape Nauye, Humphrey Polepole na Sasa Shaka Hamdu Shaka hakika wenezi hawa
wanakitendea|walikitendea haki Chama cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla wake,

HEBU SIKILIZA NA ANGALIA JINSI KATIBU WA NEC ITIKADI & UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA ALIVYOFAFANUA KUHUSU UTAYARI WA SERIKALI YA CCM INAYOONGOZWA NA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KUONDOA VIKWAZO VINAVYOKWAMISHA UFANISI WA SEKTA BINAFSI NCHINI.


>>>Msikilize hata mwisho <<<

View attachment 2030450
expand...
#nakupenda Tanzania

Quote Reply
Report Edit Delete
 
Hakika Chama Cha Mapinduzi kina hazina ya viiongozi mahiri na hodari sana ndani na nje ya Tanzania,

Toka enzi za Mhe Nape Nauye, Humphrey Polepole na Sasa Shaka Hamdu Shaka hakika wenezi hawa
wanakitendea|walikitendea haki Chama cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla wake,

HEBU SIKILIZA NA ANGALIA JINSI KATIBU WA NEC ITIKADI & UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA ALIVYOFAFANUA KUHUSU UTAYARI WA SERIKALI YA CCM INAYOONGOZWA NA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KUONDOA VIKWAZO VINAVYOKWAMISHA UFANISI WA SEKTA BINAFSI NCHINI.


>>>Msikilize hata mwisho <<<

View attachment 2030450
Nawasalimu kwa jina la JMT,

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amefanya ziara ya kuhamasisha uhai wa Chama, kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025, kupokea taarifa za mashina na kuhamasisha wananchi kushiriki zoezi la sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 katika Mkoa wa Mtwara.

Shaka ameonekana kutoridhishwa na kasi ya Utekelezaji wa Ilani ya CCM 2020-2025,Pamoja na serikali kutoa 157.8BL kwaajili ya Ukarabati wa bandari ya Mtwara kwaajili ya kutoa ajira mpya kwa Watanzani mradi bado unasuasua hali iliyopelekea Shaka kutoa Kalipio kali kwa Uongozi wa Mkoa wa Mtwara.

Shaka amewaonya vikali watendaji wa Serikali wanaotaka kukwamisha maendeleo ya Watanzania na kwakufanya hivyo Wanamkwamisha Rais Samia Suluhu Hassan katika juhudi zake za kuharakisha na kurahisisha maendeleo ya Wanamtwara na Watanzania kwa ujumla wake.

View attachment 1943022
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania,

#Endeleeni kumsapoti Mama,
 
Hakika Chama Cha Mapinduzi kina hazina ya viiongozi mahiri na hodari sana ndani na nje ya Tanzania,

Toka enzi za Mhe Nape Nauye, Humphrey Polepole na Sasa Shaka Hamdu Shaka hakika wenezi hawa
wanakitendea|walikitendea haki Chama cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla wake,

HEBU SIKILIZA NA ANGALIA JINSI KATIBU WA NEC ITIKADI & UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA ALIVYOFAFANUA KUHUSU UTAYARI WA SERIKALI YA CCM INAYOONGOZWA NA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA KUONDOA VIKWAZO VINAVYOKWAMISHA UFANISI WA SEKTA BINAFSI NCHINI.


>>>Msikilize hata mwisho <<<

View attachment 2030450
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
 
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
 
Back
Top Bottom