Shaka Hamdu Shaka: CCM haitavumilia wananchi kubambikwa kesi

brilliant
 
Itisha uchaguzi huru . Polisi wake mbali na usalama tuone.
Wewe unategemea police na usalama Afu unajiita chama .
Labda chama cha kina shaka wanaowekwa kinyumba na kina mpelembwe huko Tanga
Bisha kama hilo ni UONGO nishushe evidence hapa
Hizi ndoto hizi
 
Itisha uchaguzi huru . Polisi wake mbali na usalama tuone.
Wewe unategemea police na usalama Afu unajiita chama .
Labda chama cha kina shaka wanaowekwa kinyumba na kina mpelembwe huko Tanga
Bisha kama hilo ni UONGO nishushe evidence hapa
Sio kweli. Ushahidi
 
Kwa hiyo tulikuwa tunasubiri tulisemee hili kwenye kampeni za Ubunge?

Tupunguze kuwadanganya wananchi wakati wa kampeni
 
Shaka hebu tuambie ile ya ugaidi mliyompa mbowe kupitia mapolisi wenu nayo vipi?
 
Popote Ulipo sema "Mungu mlinde Rais Samia "
 
Kwa20210917-WA0069.jpg"]1968220[/ATTACH]

View attachment 1968223

View attachment 1968233
[/QUOTE]
Kwahiyo Wana kahama pekee ndio wenye umuhimu pekee sio.
 

Anawezaje haya yote huyu mama?

SGR TZS 10.2T ni Yeye,
SG TZS 6.55T ni Yeye
Madarasa mapya manne kila sekondari nchi nzima,
Madawati 120 kila sekondari nchi nzima
 
14|10|2021

Rais Samia atakuwa Chato kwenye kuzima Mwenge

Sherehe zitafanyika Uwanja wa Magufuli,

Karibu sana njoo Uungane na Rais wako,


_________________
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…