Shaka Hamdu Shaka: CCM haitavumilia wananchi kubambikwa kesi

Ccm hakiyao kunyima watu elimu wasukuma hapa dhambi hatahawajitambui
 
πŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏ

Miezi sita ya Rais Samia,

Nchi imetulia tuli,
Wawekezaji kama wote
Wahisani kama wote
Wananchi Shangwe kila kona

#KAZIIENDELEE
Hongera mama Samia
 
Rais Samia ameongeza wanafunzi 29,000 kwenye mikopo ya elimu ya juu HESLB kwa miezi sita tu,

miaka mitano mfululizo iliyopita tulifanikiwa wanafunzi wapya 32,000

Unaisemaje kasi ya Rais Samia?
Wananchi msidanganywe na Shaka!!Mwambieni waliompiga Lisu Risasi wako wapi??Haki itendeke!!!
 

Huu wako niunafiki,

Mbona Shaka ameongea kizalendo sana kwa uchungu wewe unatakaje?
πŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏ

Kutoka Mwaka 2015/16 hadi 2020/21 pesa iliyoongezwa bodi ya mikopo ilikuwa Tshs 101BL na wanafunzi wapya walikuwa elfu 32 ,

Awamu ya sita kwa miezi sita pesa iliyoongezwa kwenye bodi hiyohiyo ni Tsh 120b na wanafunzi wapya ni elfu 29

Budget ya HESLB kwa mwaka 2015/16 ilikuwa 348.7B kwa wanafunzi 98,300

Budget ya HESLB mwaka 2020/21 ilifikia 450B kwa wanafunzi 130,883

_________________________

Awamu ya sita kwa miezi sita imeongeza budget kutoka 450B za awali hadi 570B za sasa na idadi ya wanufaika imeongezeka na kufikia 160,000.

#Hoja hapa ni muda wa matokeo

#HAKUNA KAMA SAMIA
 
Safi Sana, Hakuna kama CCM
 
Kahama kuna Askari anaitwa George yule jamaa rushwa zitakuja kumtokea puani
 
Kahama kuna Askari anaitwa George yule jamaa rushwa zitakuja kumtokea puani

George Jitafakari JF Inakumulika Na Rushwa Zitakutokea Kwenye Tundu Lolote Lililowazi

 
askari Wana kiki sana kuna Boya mmoja alitukuta Bar FFU kaagiza KVANT kwenye kulipa Sasa mara oooh Niko Escort one ya samia oooh niliua mtu Alafu alikuwa full kavaa Gwanda ma yoko yale na Kila mbwembwe kibao.

Jamaa muuza nae kichwa kibovu akamwambia Acha kutuonyesha ma Guard lipa bill usepe
 

Mbambika kesi anapopelekewa kesi ya kubambika kesi 😁😁.

Hiiiiii bagosha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…